Kama wasaidizi wa Kingai wamepandishwa vyeo, siku si nyingi mamlaka ya RAIS itampandisha cheo kuwa SACP/DCP/CP au IGP

Siro, Kingai, Jumanne, Goodluck, Mahita na vizazi vyao vyote. Walaaniwe....waishi maisha marefu yenye mateso. Siyo kwa ukatili wanaoufanya
Vizazi vyao havina kosa lolote acha kuviombea mabaya,. watanzania sijui tupoje anaefanya maovu ni mtu mmoja ila mabaya waombewa wengine hata ambao hawajazaliwa
 
Vizazi vyao havina kosa lolote acha kuviombea mabaya,. watanzania sijui tupoje anaefanya maovu ni mtu mmoja ila mabaya waombewa wengine hata ambao hawajazaliwa
Hata wao ni zao la laana ya uovu wa mababu zao.
Uovu ni zao la ukoo,uovu ni spirit
 
Wakati huku Tanzania akina Kingai walipandiswa cheo, huko Kenya ambako kuna Rais wa watu hali ni Tofauti.
 
Siyo watu wote waliofanya uovu uadhibiwa na mamlaka za kibinadamu. Wengi wa wahalifu ufanya uhalifu baada ya kuingia mkataba wa uhalifu na wanapendezwa na huo uhalifu. Yawezekana kama wakina Kingai walifanya mateso waliyoeleza watuhumiwa kesi ya Mbowe basi walisaini mkataba wakuifanya kazi hii Kwa makubaliano flani ikiwemo promotion.

Ni vigumu mkataba huu kuvunjwa Kwa sababu una element za kiapo kwamba naahidi kufanya Kwa makubaliano flani. Kazi zilizofanywa nje ya mkataba zinapobainika hatua za kisheria uchukuliwe,rejea kesi ya Zombe. Naamini kwa Taarifa aliyotoa Jumanne mahakamani kwamba mashahidi wote wamepandishwa vyeo akiwemo mahita aliyepo kozi maana yake Kingai hajapandishwa kwa sababu mamlaka yake Kwa cheo kipya Kwa mujibu ya zinavyosoma kanuni zao ni Mhe. RAIS wakati akina Jumanne ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani.

Taarifa hii inaamanisha jina la Kingai tayari limependekezwa kwa promotion likisubiri mkeka kutoka Ikulu.

Sitaki kuamini kwamba watendaji Hawa wa Polisi walifanya uhalifu unaoelezwa na watuhumiwa ila nataka kuamini kwamba walishiriki kwanamna Moja au nyingine kutekeleza Amri isiyo halali.

Hukumu Yao haiwezi kutolewa na mwanadamu wa cheo chochote maana viongozi wote wamefungwa na kifungo Cha mkataba kwamba tunafanya then mtatulipa na atutaadhibiwa.
Na huyo huyo Mungu anaweza akakuhukumu wewe muomea hukumu wenzako,
Kabla ya maombi yako wewe kutimizwa.

Kesi za kisiasa,haziwezi kuiondolea taasisi kama Polisi,kutofuata mfumo na rekodi za watendaji wake,kulingana na uhodari wao.

Mbona hatusikii mkilalamikia Uhuni unaofanywa na #Kweka DPP anayemsaidia #Mbowe kulipa kisasi kule Moshi??

Sio kila mbaya wa Chadema ni mbaya kwa Taifa pia.
 
Back
Top Bottom