Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,729
- 7,660
Vizazi vyao havina kosa lolote acha kuviombea mabaya,. watanzania sijui tupoje anaefanya maovu ni mtu mmoja ila mabaya waombewa wengine hata ambao hawajazaliwaSiro, Kingai, Jumanne, Goodluck, Mahita na vizazi vyao vyote. Walaaniwe....waishi maisha marefu yenye mateso. Siyo kwa ukatili wanaoufanya