Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Siyo watu wote waliofanya uovu uadhibiwa na mamlaka za kibinadamu. Wengi wa wahalifu ufanya uhalifu baada ya kuingia mkataba wa uhalifu na wanapendezwa na huo uhalifu. Yawezekana kama wakina Kingai walifanya mateso waliyoeleza watuhumiwa kesi ya Mbowe basi walisaini mkataba wakuifanya kazi hii Kwa makubaliano flani ikiwemo promotion.
Ni vigumu mkataba huu kuvunjwa Kwa sababu una element za kiapo kwamba naahidi kufanya Kwa makubaliano flani. Kazi zilizofanywa nje ya mkataba zinapobainika hatua za kisheria uchukuliwe,rejea kesi ya Zombe. Naamini kwa Taarifa aliyotoa Jumanne mahakamani kwamba mashahidi wote wamepandishwa vyeo akiwemo mahita aliyepo kozi maana yake Kingai hajapandishwa kwa sababu mamlaka yake Kwa cheo kipya Kwa mujibu ya zinavyosoma kanuni zao ni Mhe. RAIS wakati akina Jumanne ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani.
Taarifa hii inaamanisha jina la Kingai tayari limependekezwa kwa promotion likisubiri mkeka kutoka Ikulu.
Sitaki kuamini kwamba watendaji Hawa wa Polisi walifanya uhalifu unaoelezwa na watuhumiwa ila nataka kuamini kwamba walishiriki kwanamna Moja au nyingine kutekeleza Amri isiyo halali.
Hukumu Yao haiwezi kutolewa na mwanadamu wa cheo chochote maana viongozi wote wamefungwa na kifungo Cha mkataba kwamba tunafanya then mtatulipa na atutaadhibiwa.
Ni vigumu mkataba huu kuvunjwa Kwa sababu una element za kiapo kwamba naahidi kufanya Kwa makubaliano flani. Kazi zilizofanywa nje ya mkataba zinapobainika hatua za kisheria uchukuliwe,rejea kesi ya Zombe. Naamini kwa Taarifa aliyotoa Jumanne mahakamani kwamba mashahidi wote wamepandishwa vyeo akiwemo mahita aliyepo kozi maana yake Kingai hajapandishwa kwa sababu mamlaka yake Kwa cheo kipya Kwa mujibu ya zinavyosoma kanuni zao ni Mhe. RAIS wakati akina Jumanne ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani.
Taarifa hii inaamanisha jina la Kingai tayari limependekezwa kwa promotion likisubiri mkeka kutoka Ikulu.
Sitaki kuamini kwamba watendaji Hawa wa Polisi walifanya uhalifu unaoelezwa na watuhumiwa ila nataka kuamini kwamba walishiriki kwanamna Moja au nyingine kutekeleza Amri isiyo halali.
Hukumu Yao haiwezi kutolewa na mwanadamu wa cheo chochote maana viongozi wote wamefungwa na kifungo Cha mkataba kwamba tunafanya then mtatulipa na atutaadhibiwa.