Kama wapinzani watasimamisha mgombea mmoja wa uraisi na kuachiana majimbo, ni vipi CHADEMA itaathirika na ujio wa Maalim Seif?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Sehemu ambazo vyama vya CUF na ACT vina nguvu zinafahamika na pia kama mgombea wa uraisi atakuwa ni mmoja kwa mwanvuli wa UKAWA,ni vipi CHADEMA itaathirika na Maalim Seif kujiunga ACT?

ACT haiwezi kupewa majimbo mengi kama CHADEMA kwa huku bara kama kweli upinzani wanataka kubeba viti vingi na hili liko wazi hata kwa wapinza wenyewe wakiwemo ACT.

ACT watapewa majinbo mengi Zanzibar kuliko vyama vyote washirika vinavyounda UKAWA na CHADEMA,NCCR pamoja na Mzee Hahimu Rungwe na chama chake hawawezi kipinga hili.

CCM hii imekula kwenu nyie tegemeeni tu kubebwa na tume lakini sio kushinda katika sanduku la kura.
 
Sehemu ambazo vyama vya CUF na ACT vina nguvu zinafahamika na pia kama mgombea wa uraisi atakuwa ni mmoja kwa mwanvuli wa UKAWA,ni vipi CHADEMA itaathirika na Maalim Seif kujiunga ACT?

ACT haiwezi kupewa majimbo mengi kama CHADEMA kwa huku bara kama kweli upinzani wanataka kubeba viti vingi na hili liko wazi hata kwa wapinza wenyewe wakiwemo ACT.

ACT watapewa majinbo mengi Zanzibar kuliko vyama vyote washirika vinavyounda UKAWA na CHADEMA,NCCR pamoja na Mzee Hahimu Rungwe na chama chake hawawezi kipinga hili.

CCM hii imekula kwenu nyie tegemeeni tu kubebwa na tume lakini sio kushinda katika sanduku la kura.
Mbona mnahangaika na ramli chonganishi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..jambo la msingi ni act na cdm kupata wabunge wengi zaidi ya walionao sasa hivi.

..na kuwepo mkakati wa kuwezesha cdm na act kwa pamoja kuwa na wabunge wengi zaidi ktk bunge la muungano.
 
Kwa kuangalia uhalisia Tu Act watapewa zilizokuwa ngome ya Cuf ambazo nyingi ni Zanzibar, maeneo ya pwani na kusini mwa Tanzania bara.
Sehemu ambazo vyama vya CUF na ACT vina nguvu zinafahamika na pia kama mgombea wa uraisi atakuwa ni mmoja kwa mwanvuli wa UKAWA,ni vipi CHADEMA itaathirika na Maalim Seif kujiunga ACT?

ACT haiwezi kupewa majimbo mengi kama CHADEMA kwa huku bara kama kweli upinzani wanataka kubeba viti vingi na hili liko wazi hata kwa wapinza wenyewe wakiwemo ACT.

ACT watapewa majinbo mengi Zanzibar kuliko vyama vyote washirika vinavyounda UKAWA na CHADEMA,NCCR pamoja na Mzee Hahimu Rungwe na chama chake hawawezi kipinga hili.

CCM hii imekula kwenu nyie tegemeeni tu kubebwa na tume lakini sio kushinda katika sanduku la kura.

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Act hawana nguvu popote Tanzania bara zaidi ya Kigoma.

Uchaguzi nchi nzima walipata kura elfu 90 tu.

Sijaona majimbo ambayo Act wanaweza kuachiwa wagombee tofauti na jimbo la Zitto pekee.
 
umeongea kinyonge mno ACT ndio watakaopata wabunge wengi uchaguz ujao CHADEMA watakuwa kama NCCR MAGEUZI na mbunge mmoja
Mleta mada unaongelea yaliyopita kuwa sijui ACT wazalendo ilikuwa na nguvu sahau hayo. Chadema kitashindwa vibaya kwa ukosefu wa pesa.Kila mbunge wa chadema alipewa mamilioni apiganie ubunge na akina Lowassa Safari Kila mtu atajijua.CCM ina pesa Seif Sharif Hamad na wapemba wake Wana pesa nyingi .Wana uwezo kuingia na kuweka wagombea wenye nguvu za kifedha Kila kona.Chadema hawana wamejaa mashabiki malofa wa kutupwa wa mitandaoni kama wewe mleta mada.Ushindani Safari ni Kati ya CCM na ACT wazalendo sio na marehemu.chadema
 
Sehemu ambazo vyama vya CUF na ACT vina nguvu zinafahamika na pia kama mgombea wa uraisi atakuwa ni mmoja kwa mwanvuli wa UKAWA,ni vipi CHADEMA itaathirika na Maalim Seif kujiunga ACT?

ACT haiwezi kupewa majimbo mengi kama CHADEMA kwa huku bara kama kweli upinzani wanataka kubeba viti vingi na hili liko wazi hata kwa wapinza wenyewe wakiwemo ACT.

ACT watapewa majinbo mengi Zanzibar kuliko vyama vyote washirika vinavyounda UKAWA na CHADEMA,NCCR pamoja na Mzee Hahimu Rungwe na chama chake hawawezi kipinga hili.

CCM hii imekula kwenu nyie tegemeeni tu kubebwa na tume lakini sio kushinda katika sanduku la kura.
Kwanza jee ACT wataingia Ukawa? Na kama wataingia, jee ni kwa masharti gani?

Na atakaye peperusha bendera ya ukawa atakuwa nani?

Jee uraisi itakuwa kati ya Lissu, Zitto ama mbowe?

Furaha ya watanzania ni nchi iwe na upinzani madhubuti ma wenye kuaminiana sio ushindani unao waangusha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom