Kama wao wanavaa zetu; kwa nini nasi tusianze kuvaa zao?!

Wilbert1974

JF-Expert Member
Feb 10, 2011
1,632
478
amependeza.jpg
Wadau mnauonaje tukiwa nasi tunatoka na haya mapamba?!:wacko:
 
Dudu litakaaje apo tutakojoaje..Haiwezikani wengine Jogoo la wika Kila Dakika 10..wavae Mashoga

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Sasa mbona nyinyi ni washamba, mshawahi kuona vazi la taifa la watu wa fiji na scotland, mbona wanazifaa bila taabu.
Check below


80410022506006.jpg


Huyo Prince Charles in Kilt and wears nothing underneath


Cruise-jan2011%202256.JPG


Njagu wa Fiji hao
 
Issue si ushamba ni je nasi tuanze kuvaa hapa Bongo.
Mfano tuanze kwa madereva wote na makonda hizi ndo ziwe suti zoa.:wacko:
 
Nawashangaa kuwa hamjui kuwa Tanzania hilo ni vazo la kawaida kabisa enzi na enzi, vikoi hamvijui? wangine wanaita "msuri" (kutokana na asili ya wale wa Sur (Suri), Oman). Mbona ni vazi la kawaida tu hilo, mitindo tu inapishana.
 
Kwa sisi walokole biblia inasema "Haimpasi mwanamume kuvaa vazi la kike na hivyo hivyo kwa mwanammke."
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom