Kama wananchi wote wenye umri wa miaka 18 na zaidi wana kadi za kupigia kura kwa nini kuwe daftari la kuandikishwa wapiga kura wa serikali za mitaa?

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
859
1,528
Kwa utaratibu wa nchi yetu kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na zaidi ana kadi ya kupigia kura isipokuwa vijana ambao wangotimiza miaka 18 mwaka huu.

Tayari zoezi la uboreshaji wa daftari la kupigia kura limefanyika nchi nzima. Sasa kwa nini uchaguzi huu wananchi wasingetumia kadi zao za kupigia kura katika uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa ikizingatiwa changomoto zilizojitokeza kwenye kuandikisha wapiga kura kwenye daftari.
 
Kwa utaratibu wa nchi yetu kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na zaidi ana kadi ya kupigia kura isipokuwa vijana ambao wangotimiza miaka 18 mwaka huu.

Tayari zoezi la uboreshaji wa daftari la kupigia kura limefanyika nchi nzima. Sasa kwa nini uchaguzi huu wananchi wasingetumia kadi zao za kupigia kura katika uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa ikizingatiwa changomoto zilizojitokeza kwenye kuandikisha wapiga kura kwenye daftari.
kiukweli mambo mengine ni mambo ya ajabu sana!
-
P
 
Back
Top Bottom