Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,674
- 2,349
Kikao cha bajeti halima alikuwepo bungeni ? Tuleteeni gwaji kawe.
MAENDELEO ALIYOLETA GWAJIMA KAWE NDIO HAYA
Kikao cha bajeti halima alikuwepo bungeni ? Tuleteeni gwaji kawe.
Halafu sijui hii hulka ya kumwambia mbunge hakuleta maendeleo watu wanaitoa wapi ?
Yaani karne ya 21 watu bado hawaelewi na kutofautisha majukumu na hisani.
Mwingine anakusanya kodi yako halafu maendeleo anabembelezws kuleta ila asiyepokea hata mia ndio anatakiwa kuleta maendeleo.
Hili ni tatizo la wananchi kukaa kusaidiwa saidiwa badala kudai haki ya kodi yao ndio maana wanaona maendeleo ni hisani au msaada kutoka kwa yeyote.
Tatizo jamaa yetu ni kondoo anayejaribu kujifananisha na fisi hivyo fisi wanatambua huyo si mwenzao ndio maana anakwama!!Hahahaaaa..... Wangetuletea tu jamaa yetu!
mkuu, sisi wakazi wa Kawe siyo kama wa huko kwenu Buza. huku kwetu tuna jambo letu na MATAGA - hata Bashite aliufyata.Jana nilibahatika Kukutana na wana CHADEMA baadhi ambao nadhani ( nahisi ) walipewa 'Jukumu' la Kupitapita Kawe hasa katika 'Nyumba' za Watu na Kumuombea 'Kura' Mgombea Ubunge CHADEMA Halima Mdee. Sina tatizo na 'Mbinu' yao hii ila GENTAMYCINE nina tatizo Kubwa sana na 'Competence' ya hawa wana CHADEMA wanaozunguka.
Huku nikiwa katika 'harakati' zangu za hapa na pale na jana nikiwa Jimbo la Kawe nilibahatika Kukutana na hawa wana CHADEMA kwa 'nyakati' tofauti ambapo wote kila walipokuwa wakikutana na Watu na Kuwaelezea 'Sera' zao ( CHADEMA ) na 'Kumnadi' Mgombea wao Halima Mdee walikuwa wanaonyesha 'Udhaifu' wa wazi wazi katika 'Kuchambua' na 'Kufafanua' Mambo ( Masuala )
Nilipishana na mwana CHADEMA 'mzungukaji' wa Kwanza ambapo alimsimamisha Mama Mmoja hivi na kuanza 'Kujinadi' na 'Kumnadi' Halima Mdee ambapo aliulizwa na huyo Mama kuwa ampe tu 'Tathmini' fupi ya 'Mema' yanayoonekana yaliyofanywa na Mdee ambapo kwa 'Masikitiko' yangu makubwa Yule Kijana aliishia 'Kujiumauma' tu na 'Kujilamba' mdomo kama Chatu wa Gamboshi.
Wakati naikatiza Mitaa ya Kawe mbele tena nikakutana na wana CHADEMA 'wanaozungukazunguka' na kuna Mmoja nikamuona 'kambananisha' Mzee wa Watu huku 'akimnadi' Halima Mdee amnbapo nilimsikia Yule Mzee akimuuliza Je, anadhani Siasa anazozifanya Mdee zinaendana na 'nyakati' tuliopo Kimaadili na Kimaendelea Jamaa akabadili 'Mada' na Kuanza Kuzungumzia Mechi ya Leo ya Yanga SC na Kagera Sugar.
CHADEMA Kawe nilikuwa nawaamini na kuwa na 'Imani' nanyi ila kwa 'Udhaifu' huu tu mchache niliouona Askofu Gwajima ni Mbunge rasmi Kawe.
MAENDELEO ALIYOLETA GWAJIMA KAWE NDIO HAYA
Bi kidude hajaolewa? Cha ajabu hapo nini?
Atamla na bi kidude , jogoo lile.Ndivyo alivyokutuma huyo Askofu wako mla mivutu ??
Atamla na bi kidude , jogoo lile.
Wewe na ni yeye ndio mmeliwana bi kidude muda wake ndio huuKwani alikula na wewe ??
Tuna mtihani sana mkuu. Binafsi nimemuunga mkono Gwajima ili kuona kama walau tutapata msemaji wa mambo ya Kawe.Halima hafai
Gwajima hafai zaidi...
Halima hafai kuwa mbunge.
Gwajima hafai kuwa hata mgombea tu..
Kawe mwaka huu I wish wawakatae wote
Kama Halima Mdee anaonyesha kwa dhahiri kabisa kuwa hatoshi kwa kipindi hiki, na huku Gwajima naye ni "reject" basi ni lazima wana Kawe tujielekeze kwa mgombea wa ACT - Wazalendo. Huyu "second runner up" ndiye mtu sahihi kwetu, kwa sababu ya msimamo thabiti wa Maalim Seif.Jana nilibahatika Kukutana na wana CHADEMA baadhi ambao nadhani ( nahisi ) walipewa 'Jukumu' la Kupitapita Kawe hasa katika 'Nyumba' za Watu na Kumuombea 'Kura' Mgombea Ubunge CHADEMA Halima Mdee. Sina tatizo na 'Mbinu' yao hii ila GENTAMYCINE nina tatizo Kubwa sana na 'Competence' ya hawa wana CHADEMA wanaozunguka.
Huku nikiwa katika 'harakati' zangu za hapa na pale na jana nikiwa Jimbo la Kawe nilibahatika Kukutana na hawa wana CHADEMA kwa 'nyakati' tofauti ambapo wote kila walipokuwa wakikutana na Watu na Kuwaelezea 'Sera' zao ( CHADEMA ) na 'Kumnadi' Mgombea wao Halima Mdee walikuwa wanaonyesha 'Udhaifu' wa wazi wazi katika 'Kuchambua' na 'Kufafanua' Mambo ( Masuala )
Nilipishana na mwana CHADEMA 'mzungukaji' wa Kwanza ambapo alimsimamisha Mama Mmoja hivi na kuanza 'Kujinadi' na 'Kumnadi' Halima Mdee ambapo aliulizwa na huyo Mama kuwa ampe tu 'Tathmini' fupi ya 'Mema' yanayoonekana yaliyofanywa na Mdee ambapo kwa 'Masikitiko' yangu makubwa Yule Kijana aliishia 'Kujiumauma' tu na 'Kujilamba' mdomo kama Chatu wa Gamboshi.
Wakati naikatiza Mitaa ya Kawe mbele tena nikakutana na wana CHADEMA 'wanaozungukazunguka' na kuna Mmoja nikamuona 'kambananisha' Mzee wa Watu huku 'akimnadi' Halima Mdee amnbapo nilimsikia Yule Mzee akimuuliza Je, anadhani Siasa anazozifanya Mdee zinaendana na 'nyakati' tuliopo Kimaadili na Kimaendelea Jamaa akabadili 'Mada' na Kuanza Kuzungumzia Mechi ya Leo ya Yanga SC na Kagera Sugar.
CHADEMA Kawe nilikuwa nawaamini na kuwa na 'Imani' nanyi ila kwa 'Udhaifu' huu tu mchache niliouona Askofu Gwajima ni Mbunge rasmi Kawe.
Wewe na ni yeye ndio mmeliwana bi kidude muda wake ndio huu
Mkuu mbona wewe mjanja? Kwa nini unapoteza kura yako hiyo ya urais kwa kumpa aliyeshindwa tayari?Mkuu nisikufiche hii 'post' yako imeanza 'Kunishawishi' tarehe 28 Oktoba 2020 nimpige tu 'Kura' yangu Rais JPM, ila kwa 'Ubunge' nisipoteze Muda.
Unataka nikujibu unavyotaka wewe ? Au jibu sahihi?Jibu swali
Kwani alikula na wewe ??