KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Anh...nilitaka kupita kimya kimya na kicheko changu...lakini imenibidi nikubali uzito wa hoja yako hii. Sio Bure! Kuna kitu.Yeye na bashite mahusiano yao ni ya matambiko hayavunjwi kwa taratibu za kiserikali bali mizimu. Na huko kwenye mizimu bashite ndio senior kwa Magu.