Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hao graduate si wanachagua kazi wanataka za ofisini kuzunguka na kiti wakipigwa na kiyoyozi ndo shida
Tena ikifika hiyo 2020 huezi amini kwa kura atakazo zipata
 
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili

Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana

Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?

Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?

Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?

Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?

Britannica

Ni wapi aliambiwa Makalla ni mkuu wa mkoa bora ? Kuweni makini kusoma na kufanya rejea.Mataka na Makalla wapi na wapi ?
 
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili

Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana

Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?

Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?

Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?

Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?

Britannica
Muda bado
 
Time will tell. Walikuwepo kama yeye duniani na sasa wapo Lupango. Wako wapi kama mke wa Mugabe aliyediriki kumpiga mhudumu wa hotel? Bashir na wenzao akina Ghadaffi na watoto wao wako wapi? Heri Mwalimu aliitwa dictator lakini akatupa elimu nzuri ya kutuandaa maishani. Sasa hivi ni bora elimu siyo elimu bora. Tuliosoma na watoto wa mwalimu tunakumbuka maisha waliyokuwa nayo ambayo yalikuwa kama sisi sote. BASHITE.
[
OTE]

Mwalimu alikuwa cold dikteta sababu ya malezi ( kulelewa Na wazazi wawili hadi ukubwani) pia dini ilimshape ikamfundisha kuhusu Mungu roho,uhai Na utu.Tofauti Na mablood dikteta wa zama zake
 
Methari ya kiswahili " Afuatanaye na bwana nae bwana" mtasubiri sana kwa Makonda
 
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili

Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana

Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?

Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?

Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?

Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?

Britannica


Makonda bado kijana na hana akili nzuri, anafundishwa kazi bado.
 
Time will tell. Walikuwepo kama yeye duniani na sasa wapo Lupango. Wako wapi kama mke wa Mugabe aliyediriki kumpiga mhudumu wa hotel? Bashir na wenzao akina Ghadaffi na watoto wao wako wapi? Heri Mwalimu aliitwa dictator lakini akatupa elimu nzuri ya kutuandaa maishani. Sasa hivi ni bora elimu siyo elimu bora. Tuliosoma na watoto wa mwalimu tunakumbuka maisha waliyokuwa nayo ambayo yalikuwa kama sisi sote. BASHITE.
[
OTE]
Kwa Mwalimu walikuwa wanaangalia utabiri wahali yahewa kwenye TV je nakwenu ilikuwa hivyo? Kama nihivyobasi nikweli mlikuwa sawa
 
Yeye na bashite mahusiano yao ni ya matambiko hayavunjwi kwa taratibu za kiserikali bali mizimu. Na huko kwenye mizimu bashite ndio senior kwa Magu.
Mpaka hivi tunavyoongea Daud Maliyamungu Bashite anamiliki waganga wa kienyeji 83 toka mataifa mbalimbali ambao wameletwa na Le mutuz ambaye ni dalali wa ndumba zake kwa sasa, Maliyamungu Bashite yeye ni mshirikina mkubwa lakini mbele za umma huzuga kuzunguka makanisani kuombewa hata mshirika wake cyprian Musiba anakiri kuwa Maliyamungu Bashite ni noma kwenye idara hiyo na wao huwatumia waganga hao hao kujikinga dhidi ya moto wa watu mbalimbali wanaowafanyia visa na vioja na unyanyasaji wa kila aina.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom