telitaibi
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 551
- 106
Ndugu zanguni, najiuliza hili swali nanyi naomba mnisaidie jibu. Iweje kitendo ambacho kinatafsiriwa na wengi wa waislamu wapenda AMANI kuwa ni cha kihuni kinapongezwa na Radio Imaan na wafuasi wa ponda?? Najua kuna watakaomwaga mapovu hapa lakin pia nategemea majibu makini