GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,002
- 107,348
"CCM sio mbaya ila kuna baadhi ya watendaji wanafanya mambo yanapelekea watu kuja kuichukia CCM..CCM naipenda kutokana na ile mifumo ila kuna baadhi wanayoyafanya watendaji sio mazuri, CCM ingekuwa mbaya tusingekuwa na amani".Mgombea Urais (Demokrasia Makini) Cecilia Mmanga'
ITV Tanzania
Ninachojua tu ni kwamba Watanzania 29,188,347 na 100% ya JamiiForums 'Members' tutampigia 'Kura' zetu zote Ndugu Dk. John Pombe Magufuli.
ITV Tanzania
Ninachojua tu ni kwamba Watanzania 29,188,347 na 100% ya JamiiForums 'Members' tutampigia 'Kura' zetu zote Ndugu Dk. John Pombe Magufuli.