johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,835
Mambo mengine yanayoendelea bungeni ni ya kitoto sana na lazima yakemewe kwakweli.
Anasimama mbunge anasema SGR itatumia miaka 81 kukamilika hivyo haitufai.
Anasimama mwingine anasema Umeme wa maji ni hasara kwa taifa kwa sababu umepitwa na wakati.
Tukumbuke kuwa hii miradi miwili pekee inatugharimu zaidi ya tsh 15 trillion.
Sasa kama haifai maana yake Ilani ya CCM ndio imebeba madudu yote haya ndani yake na kwahiyo itupwe na isukwe ilani mpya.
Wanasheria wanasema kukifumua kitabu cha kurasa zaidi ya 300 cha Ilani ya CCM na kukisuka upya maana yake ni kuitisha upya uchaguzi mkuu.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Anasimama mbunge anasema SGR itatumia miaka 81 kukamilika hivyo haitufai.
Anasimama mwingine anasema Umeme wa maji ni hasara kwa taifa kwa sababu umepitwa na wakati.
Tukumbuke kuwa hii miradi miwili pekee inatugharimu zaidi ya tsh 15 trillion.
Sasa kama haifai maana yake Ilani ya CCM ndio imebeba madudu yote haya ndani yake na kwahiyo itupwe na isukwe ilani mpya.
Wanasheria wanasema kukifumua kitabu cha kurasa zaidi ya 300 cha Ilani ya CCM na kukisuka upya maana yake ni kuitisha upya uchaguzi mkuu.
Nawatakia Dominica yenye baraka!