Kama Wabunge wana Magari yao ya 'Kifahari' unadhani ni kwanini hupenda Kutumia 'Bodaboda' na 'Bajaji' tena Nyakati za Usiku tu wakiwa Dodoma?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Hatimaye Spika Ndugai Uvumilivu umemshinda na kaamua Kuwaonya Wabunge wanaopenda Kupanda 'Bodaboda' na 'Bajaji' wakati wana Magari yao tena ya 'Kifahari' kabisa kuwa yakiwakuta ya kuwakuta Wasilaumu.

Chanzo: Daily News Ukurasa wa Pili

Na nyie Wabunge ifike muda mjitathmini hivi Magari yenu mnayo tena ya 'Hadhi' zenu kabisa huku Kupanda 'Bodaboda' na 'Bajaji' kumetokea wapi?

Yaani Mimi Generalist ( Mnyonge na Choka Mbaya ) nipande 'Bodaboda' na 'Bajaji' tena za Tsh 500/= ( na Siku zingine hadi nakopa ) na nyie pia Mnaolipwa 'Mamilioni' mpande? Acheni Kujiaibisha!!
 
Sababu ni hizi!
Kuwahi, ili wasijulikane walipo kirahisi, umalaya ili wanase mabinti kirahisi bila skendo, uchelewaji ili kuwahi faster!
Halafu spika kusema boda si salama inamaana SISI WANANCHI TUNAOPANDA KILA SIKU HATUNA MAANA AU SIYO?
 
Back
Top Bottom