MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Hatimaye Spika Ndugai Uvumilivu umemshinda na kaamua Kuwaonya Wabunge wanaopenda Kupanda 'Bodaboda' na 'Bajaji' wakati wana Magari yao tena ya 'Kifahari' kabisa kuwa yakiwakuta ya kuwakuta Wasilaumu.
Chanzo: Daily News Ukurasa wa Pili
Na nyie Wabunge ifike muda mjitathmini hivi Magari yenu mnayo tena ya 'Hadhi' zenu kabisa huku Kupanda 'Bodaboda' na 'Bajaji' kumetokea wapi?
Yaani Mimi Generalist ( Mnyonge na Choka Mbaya ) nipande 'Bodaboda' na 'Bajaji' tena za Tsh 500/= ( na Siku zingine hadi nakopa ) na nyie pia Mnaolipwa 'Mamilioni' mpande? Acheni Kujiaibisha!!
Chanzo: Daily News Ukurasa wa Pili
Na nyie Wabunge ifike muda mjitathmini hivi Magari yenu mnayo tena ya 'Hadhi' zenu kabisa huku Kupanda 'Bodaboda' na 'Bajaji' kumetokea wapi?
Yaani Mimi Generalist ( Mnyonge na Choka Mbaya ) nipande 'Bodaboda' na 'Bajaji' tena za Tsh 500/= ( na Siku zingine hadi nakopa ) na nyie pia Mnaolipwa 'Mamilioni' mpande? Acheni Kujiaibisha!!