Kama waarabu wameweza, ni kitu gani kimetushinda sisi!?

Kingcobra

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
1,000
309
Jamani,

Bila shaka, wengi wenu mmeona jinsi wenzetu waarabu walivyoingia mitaani kupinga tawala za kibabaishaji. Wamevumilia wameshindwa. Hatua ya mwisho waliyoona inafaa ni kuingia mitaani kushinikiza viongozi wao waondoke madarakani. Kama waarabu wameweza, kwa nini sisi tusiweze au hali yetu bado haijafikia hatua mbaya kama wao?
 
Watanzania wananung'unikia uvunguni hawataki waonekane. Wanapenda sana AMANI na UTULIVU. Eti hawapendi vurugu!!!
 
Watanzania wananung'unikia uvunguni hawataki waonekane. Wanapenda sana AMANI na UTULIVU. Eti hawapendi vurugu!!!

Wewe kila siku si huwa unaponda leo tena unatamani mambo yaliofanywa na wanywa kahawa na kashata, hayo mambo waachieni wanywa kahawa na kashata nyie watu wa amani
 
Jamani,

Bila shaka, wengi wenu mmeona jinsi wenzetu waarabu walivyoingia mitaani kupinga tawala za kibabaishaji. Wamevumilia wameshindwa. Hatua ya mwisho waliyoona inafaa ni kuingia mitaani kushinikiza viongozi wao waondoke madarakani. Kama waarabu wameweza, kwa nini sisi tusiweze au hali yetu bado haijafikia hatua mbaya kama wao?

Mzee mwarabu huyu huyu mliekuwa mkimshutumu gaidi kwa kujilipua(Marekani na Israel),leo atashindwa kuandamana.Mbona hii ni kazi ndogo sana kwao,ni suala la imani tu kama huna huwezi kujilinganisha na Mwarabu. Believes "Allah is One".
 
Kama ni kuandamana tuandamane kwa hili tukio la G/Mboto

Kuna mtu amenitonya: Anasema yeye alipigiwa simu na kaka yake ambaye ni Mjeshi pale G/Mboto saa 12:00 jioni siku ya tarehe 16/2/2011 kuwa aiondoshe familia yake haraka sana kwani kuna tukio litatokea usiku. Akabeba familia akaipeleka Kinondoni. Huyu jamaa nahifadhi jina lake ila ni mkristo. Nilimuuliza ikiwa amesalimika na tukio la mabomu kwa kuwa najua anaishi Gongo la mboto mwisho.

Ndipo nilipokumbuka lile Tamko la waislam lililowahi kubandikwa hapa JF. Tujikumbushe!
"(9) Papa John Paul II alipoitembelea Tanzania mwaka 1990, Kanisa Katoliki lilimkabidhi Ripoti yenye anwani: Activities of the Church in Tanzania. Katika ripoti yake hiyo Kanisa Katoliki limetaja kuwapo kwa Tume ya Majeshi ya Kivita [Commission of Armed Forces] ndani ya Kanisa hilo. Tangu wakati huo hadi leo Waislamu wameitaka serikali iwaondoshe hofu kwa kuweka wazi kazi za Tume hiyo ya Majeshi ya Kivita ndani ya Kanisa. Serikali haijajibu na wala haijajishughulisha na taarifa nzito kama hizo. Hatujui kama Tume hiyo ya Majeshi ya kivita inafanya kazi ndani ya Jeshi la Wananchi au nje ya jeshi hilo. Lakini kwa muktadha wa hali ya uhasama wa serikali na hasa wa Maaskofu dhidi ya Waislamu wanaowahesabu kuwa ni maadui zao, si vigumu kukisia kwa nini Kanisa Katoliki limeunda Tume ya Majeshi ya Kivita. Lakini serikali ambayo haishughulishwi kabisa na Tume ya Majeshi ya Kivita ya Wakatoliki imekuwa na tabia ya kuwakamata na kuwatia ndani Waislamu kwa kesi za kuwabambikia zisizokuwa na kichwa wala miguu. Lakini propaganda zinasema Tanzania ni nchi moja yenye katiba inayolinda haki za watu wote. Mwenye mach haambiwi tazama.

"Lililo baya zaidi maaskofu walioshindwa kuwashawishi wananchi waipokee na kukubali Ilani yao, wamekuja na kampeni za kuchochea uasi kwa serikali iliyopo madarakani. Lakini pamoja na hali hiyo, viongozi wa CCM na serikali wamebaki wanagwaya. Hakuna aliyeweza kupata ujasiri wa kukemea hali hii. Kinyume chake Waziri Mkuu na Mzee John Samwel Malecela wanahangaika huku na kule wakiwapigia magoti maaskofu hao na kuwakemea wanaothubutu kuwakosoa.
Hali kama hii ni hatari kwa usalama na utulivu wa nchi. Ni hali ya kuchochea udini na kuweka ombwe la uongozi wa kisiasa ambao utazua balaa. Waislamu hatuwezi kukubali hali hii. Kwa hiyo, ama CCM na serikali vitekeleze wajibu wao wa kuongoza au kama wanaona hawawezi, basi waseme rasmi ili Maaskofu na wengine wenye Ilani zao za uchaguzi waingie tena ulingoni kuomba ridhaa ya Watanzania kuongoza nchi kuliko kuishi katika hiki kiini macho ambapo maaskofu na mawakala wao ndani ya serikali wameachwa waikokote nchi wanakotaka".

Maoni yangu: Bado tukumbuke kuwa kuna misemo pia imewahi kusemwa kuwa kuanzia sasa Tanzania haitatawaliki tena.
TUNATAKA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA KUWEPO KWA "TUME YA MAJESHI YA KIVITA" IKIAINISHA KAZI YAKE, NA UHALALI WAKE.
Hatuwezi kukubali kufa na kuteseka kwa tamaa za watu wachache wenye uchu na madaraka kwa kutumia UDINI. Watu wasiothamini utu wa Mtu na thamani ya damu ya Watanzania. Tuandamane kwa hili.

 
Kama ni kuandamana tuandamane kwa hili tukio la G/Mboto

Kuna mtu amenitonya: Anasema yeye alipigiwa simu na kaka yake ambaye ni Mjeshi pale G/Mboto saa 12:00 jioni siku ya tarehe 16/2/2011 kuwa aiondoshe familia yake haraka sana kwani kuna tukio litatokea usiku. Akabeba familia akaipeleka Kinondoni. Huyu jamaa nahifadhi jina lake ila ni mkristo. Nilimuuliza ikiwa amesalimika na tukio la mabomu kwa kuwa najua anaishi Gongo la mboto mwisho.

Ndipo nilipokumbuka lile Tamko la waislam lililowahi kubandikwa hapa JF. Tujikumbushe!
"(9) Papa John Paul II alipoitembelea Tanzania mwaka 1990, Kanisa Katoliki lilimkabidhi Ripoti yenye anwani: Activities of the Church in Tanzania. Katika ripoti yake hiyo Kanisa Katoliki limetaja kuwapo kwa Tume ya Majeshi ya Kivita [Commission of Armed Forces] ndani ya Kanisa hilo. Tangu wakati huo hadi leo Waislamu wameitaka serikali iwaondoshe hofu kwa kuweka wazi kazi za Tume hiyo ya Majeshi ya Kivita ndani ya Kanisa. Serikali haijajibu na wala haijajishughulisha na taarifa nzito kama hizo. Hatujui kama Tume hiyo ya Majeshi ya kivita inafanya kazi ndani ya Jeshi la Wananchi au nje ya jeshi hilo. Lakini kwa muktadha wa hali ya uhasama wa serikali na hasa wa Maaskofu dhidi ya Waislamu wanaowahesabu kuwa ni maadui zao, si vigumu kukisia kwa nini Kanisa Katoliki limeunda Tume ya Majeshi ya Kivita. Lakini serikali ambayo haishughulishwi kabisa na Tume ya Majeshi ya Kivita ya Wakatoliki imekuwa na tabia ya kuwakamata na kuwatia ndani Waislamu kwa kesi za kuwabambikia zisizokuwa na kichwa wala miguu. Lakini propaganda zinasema Tanzania ni nchi moja yenye katiba inayolinda haki za watu wote. Mwenye mach haambiwi tazama.

"Lililo baya zaidi maaskofu walioshindwa kuwashawishi wananchi waipokee na kukubali Ilani yao, wamekuja na kampeni za kuchochea uasi kwa serikali iliyopo madarakani. Lakini pamoja na hali hiyo, viongozi wa CCM na serikali wamebaki wanagwaya. Hakuna aliyeweza kupata ujasiri wa kukemea hali hii. Kinyume chake Waziri Mkuu na Mzee John Samwel Malecela wanahangaika huku na kule wakiwapigia magoti maaskofu hao na kuwakemea wanaothubutu kuwakosoa.
Hali kama hii ni hatari kwa usalama na utulivu wa nchi. Ni hali ya kuchochea udini na kuweka ombwe la uongozi wa kisiasa ambao utazua balaa. Waislamu hatuwezi kukubali hali hii. Kwa hiyo, ama CCM na serikali vitekeleze wajibu wao wa kuongoza au kama wanaona hawawezi, basi waseme rasmi ili Maaskofu na wengine wenye Ilani zao za uchaguzi waingie tena ulingoni kuomba ridhaa ya Watanzania kuongoza nchi kuliko kuishi katika hiki kiini macho ambapo maaskofu na mawakala wao ndani ya serikali wameachwa waikokote nchi wanakotaka".

Maoni yangu: Bado tukumbuke kuwa kuna misemo pia imewahi kusemwa kuwa kuanzia sasa Tanzania haitatawaliki tena.
TUNATAKA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA KUWEPO KWA "TUME YA MAJESHI YA KIVITA" IKIAINISHA KAZI YAKE, NA UHALALI WAKE.
Hatuwezi kukubali kufa na kuteseka kwa tamaa za watu wachache wenye uchu na madaraka kwa kutumia UDINI. Watu wasiothamini utu wa Mtu na thamani ya damu ya Watanzania. Tuandamane kwa hili.

Umenena kweli. napendekeza iundwe tume huru ya kuchunguza kiini cha mabomo ya G/mboto.
 
Kama ni kuandamana tuandamane kwa hili tukio la G/Mboto

Kuna mtu amenitonya: Anasema yeye alipigiwa simu na kaka yake ambaye ni Mjeshi pale G/Mboto saa 12:00 jioni siku ya tarehe 16/2/2011 kuwa aiondoshe familia yake haraka sana kwani kuna tukio litatokea usiku. Akabeba familia akaipeleka Kinondoni. Huyu jamaa nahifadhi jina lake ila ni mkristo. Nilimuuliza ikiwa amesalimika na tukio la mabomu kwa kuwa najua anaishi Gongo la mboto mwisho.

Ndipo nilipokumbuka lile Tamko la waislam lililowahi kubandikwa hapa JF. Tujikumbushe!
"(9) Papa John Paul II alipoitembelea Tanzania mwaka 1990, Kanisa Katoliki lilimkabidhi Ripoti yenye anwani: Activities of the Church in Tanzania. Katika ripoti yake hiyo Kanisa Katoliki limetaja kuwapo kwa Tume ya Majeshi ya Kivita [Commission of Armed Forces] ndani ya Kanisa hilo. Tangu wakati huo hadi leo Waislamu wameitaka serikali iwaondoshe hofu kwa kuweka wazi kazi za Tume hiyo ya Majeshi ya Kivita ndani ya Kanisa. Serikali haijajibu na wala haijajishughulisha na taarifa nzito kama hizo. Hatujui kama Tume hiyo ya Majeshi ya kivita inafanya kazi ndani ya Jeshi la Wananchi au nje ya jeshi hilo. Lakini kwa muktadha wa hali ya uhasama wa serikali na hasa wa Maaskofu dhidi ya Waislamu wanaowahesabu kuwa ni maadui zao, si vigumu kukisia kwa nini Kanisa Katoliki limeunda Tume ya Majeshi ya Kivita. Lakini serikali ambayo haishughulishwi kabisa na Tume ya Majeshi ya Kivita ya Wakatoliki imekuwa na tabia ya kuwakamata na kuwatia ndani Waislamu kwa kesi za kuwabambikia zisizokuwa na kichwa wala miguu. Lakini propaganda zinasema Tanzania ni nchi moja yenye katiba inayolinda haki za watu wote. Mwenye mach haambiwi tazama.

"Lililo baya zaidi maaskofu walioshindwa kuwashawishi wananchi waipokee na kukubali Ilani yao, wamekuja na kampeni za kuchochea uasi kwa serikali iliyopo madarakani. Lakini pamoja na hali hiyo, viongozi wa CCM na serikali wamebaki wanagwaya. Hakuna aliyeweza kupata ujasiri wa kukemea hali hii. Kinyume chake Waziri Mkuu na Mzee John Samwel Malecela wanahangaika huku na kule wakiwapigia magoti maaskofu hao na kuwakemea wanaothubutu kuwakosoa.
Hali kama hii ni hatari kwa usalama na utulivu wa nchi. Ni hali ya kuchochea udini na kuweka ombwe la uongozi wa kisiasa ambao utazua balaa. Waislamu hatuwezi kukubali hali hii. Kwa hiyo, ama CCM na serikali vitekeleze wajibu wao wa kuongoza au kama wanaona hawawezi, basi waseme rasmi ili Maaskofu na wengine wenye Ilani zao za uchaguzi waingie tena ulingoni kuomba ridhaa ya Watanzania kuongoza nchi kuliko kuishi katika hiki kiini macho ambapo maaskofu na mawakala wao ndani ya serikali wameachwa waikokote nchi wanakotaka".

Maoni yangu: Bado tukumbuke kuwa kuna misemo pia imewahi kusemwa kuwa kuanzia sasa Tanzania haitatawaliki tena.
TUNATAKA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA KUWEPO KWA "TUME YA MAJESHI YA KIVITA" IKIAINISHA KAZI YAKE, NA UHALALI WAKE.
Hatuwezi kukubali kufa na kuteseka kwa tamaa za watu wachache wenye uchu na madaraka kwa kutumia UDINI. Watu wasiothamini utu wa Mtu na thamani ya damu ya Watanzania. Tuandamane kwa hili.


Pwambafu sako. Maandishi meeeeeeeeeeengi lakini upupu tu.
 
Kama ni kuandamana tuandamane kwa hili tukio la G/Mboto

Kuna mtu amenitonya: Anasema yeye alipigiwa simu na kaka yake ambaye ni Mjeshi pale G/Mboto saa 12:00 jioni siku ya tarehe 16/2/2011 kuwa aiondoshe familia yake haraka sana kwani kuna tukio litatokea usiku. Akabeba familia akaipeleka Kinondoni.Huyu jamaa nahifadhi jina lake ila ni mkristo. Nilimuuliza ikiwa amesalimika na tukio la mabomu kwa kuwa najua anaishi Gongo la mboto mwisho.

Ndipo nilipokumbuka lile Tamko la waislam lililowahi kubandikwa hapa JF. Tujikumbushe!
"(9)Papa John Paul II alipoitembelea Tanzania mwaka 1990, Kanisa Katoliki lilimkabidhi Ripoti yenye anwani: Activities of the Church in Tanzania. Katika ripoti yake hiyo Kanisa Katoliki limetaja kuwapo kwa Tume ya Majeshi ya Kivita [Commission of Armed Forces] ndani ya Kanisa hilo. Tangu wakati huo hadi leo Waislamu wameitaka serikali iwaondoshe hofu kwa kuweka wazi kazi za Tume hiyo ya Majeshi ya Kivita ndani ya Kanisa. Serikali haijajibu na wala haijajishughulisha na taarifa nzito kama hizo. Hatujui kama Tume hiyo ya Majeshi ya kivita inafanya kazi ndani ya Jeshi la Wananchi au nje ya jeshi hilo. Lakini kwa muktadha wa hali ya uhasama wa serikali na hasa wa Maaskofu dhidi ya Waislamu wanaowahesabu kuwa ni maadui zao, si vigumu kukisia kwa nini Kanisa Katoliki limeunda Tume ya Majeshi ya Kivita. Lakini serikali ambayo haishughulishwi kabisa na Tume ya Majeshi ya Kivita ya Wakatoliki imekuwa na tabia ya kuwakamata na kuwatia ndani Waislamu kwa kesi za kuwabambikia zisizokuwa na kichwa wala miguu. Lakini propaganda zinasema Tanzania ni nchi moja yenye katiba inayolinda haki za watu wote. Mwenye mach haambiwi tazama.

"Lililo baya zaidi maaskofu walioshindwa kuwashawishi wananchi waipokee na kukubali Ilani yao, wamekuja na kampeni za kuchochea uasi kwa serikali iliyopo madarakani. Lakini pamoja na hali hiyo, viongozi wa CCM na serikali wamebaki wanagwaya. Hakuna aliyeweza kupata ujasiri wa kukemea hali hii. Kinyume chake Waziri Mkuu na Mzee John Samwel Malecela wanahangaika huku na kule wakiwapigia magoti maaskofu hao na kuwakemea wanaothubutu kuwakosoa.
Hali kama hii ni hatari kwa usalama na utulivu wa nchi. Ni hali ya kuchochea udini na kuweka ombwe la uongozi wa kisiasa ambao utazua balaa. Waislamu hatuwezi kukubali hali hii. Kwa hiyo, ama CCM na serikali vitekeleze wajibu wao wa kuongoza au kama wanaona hawawezi, basi waseme rasmi ili Maaskofu na wengine wenye Ilani zao za uchaguzi waingie tena ulingoni kuomba ridhaa ya Watanzania kuongoza nchi kuliko kuishi katika hiki kiini macho ambapo maaskofu na mawakala wao ndani ya serikali wameachwa waikokote nchi wanakotaka".

Maoni yangu: Bado tukumbuke kuwa kuna misemo pia imewahi kusemwa kuwa kuanzia sasa Tanzania haitatawaliki tena.
TUNATAKA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA KUWEPO KWA "TUME YA MAJESHI YA KIVITA" IKIAINISHA KAZI YAKE, NA UHALALI WAKE.
Hatuwezi kukubali kufa na kuteseka kwa tamaa za watu wachache wenye uchu na madaraka kwa kutumia UDINI. Watu wasiothamini utu wa Mtu na thamani ya damu ya Watanzania. Tuandamane kwa hili.


Si busara maneno mazito kama haya yapite bila mimi kutia lolote la kuchangia.

Hakika Serikali yetu imekuwa na kigugumizi kikuba sana katika kulishughulikia tatizo hilo la kanisa kuunda jeshi ndanimwe..

JK kuwa mkali usiogope kinyume chake nchi utaiweka pabaya
 
Mwenye kujiona kidume athubutu kufanya upuuzi wake aone.

Wazalendo halisi wa nchi hii tupo. Tutawamaliza kabla ya polisi au jeshi kuingilia kati.

Kama huna kazi ya kufanya njoo kijijini ugawiwe bure angalau ekari tano ulime. Siyo kubwabwaja maneno ya kishenzi hapa.
 
Waarabu ni mashujaa sisi huku porojo tu..
Tena kumbuka sisi ni watumwa tulikuwa tunabebwa kirahisi tu kwenda utumwani. Mtumwa ni mwoga sana. Myampara ndiyo serikali yetu betrayer wa wenziye na ikibidi mtumwa ni haki yake kupigwa mabomu na hatakiwa kumbishia Mnympara wake. Akifanya hivyo atakiona cha mtema kuni. Hongera....Elimu Jamii ni muhimu sana,
 
Kama ni kuandamana tuandamane kwa hili tukio la G/Mboto

Kuna mtu amenitonya: Anasema yeye alipigiwa simu na kaka yake ambaye ni Mjeshi pale G/Mboto saa 12:00 jioni siku ya tarehe 16/2/2011 kuwa aiondoshe familia yake haraka sana kwani kuna tukio litatokea usiku. Akabeba familia akaipeleka Kinondoni. Huyu jamaa nahifadhi jina lake ila ni mkristo. Nilimuuliza ikiwa amesalimika na tukio la mabomu kwa kuwa najua anaishi Gongo la mboto mwisho.

Ndipo nilipokumbuka lile Tamko la waislam lililowahi kubandikwa hapa JF. Tujikumbushe!
"(9) Papa John Paul II alipoitembelea Tanzania mwaka 1990, Kanisa Katoliki lilimkabidhi Ripoti yenye anwani: Activities of the Church in Tanzania. Katika ripoti yake hiyo Kanisa Katoliki limetaja kuwapo kwa Tume ya Majeshi ya Kivita [Commission of Armed Forces] ndani ya Kanisa hilo. Tangu wakati huo hadi leo Waislamu wameitaka serikali iwaondoshe hofu kwa kuweka wazi kazi za Tume hiyo ya Majeshi ya Kivita ndani ya Kanisa. Serikali haijajibu na wala haijajishughulisha na taarifa nzito kama hizo. Hatujui kama Tume hiyo ya Majeshi ya kivita inafanya kazi ndani ya Jeshi la Wananchi au nje ya jeshi hilo. Lakini kwa muktadha wa hali ya uhasama wa serikali na hasa wa Maaskofu dhidi ya Waislamu wanaowahesabu kuwa ni maadui zao, si vigumu kukisia kwa nini Kanisa Katoliki limeunda Tume ya Majeshi ya Kivita. Lakini serikali ambayo haishughulishwi kabisa na Tume ya Majeshi ya Kivita ya Wakatoliki imekuwa na tabia ya kuwakamata na kuwatia ndani Waislamu kwa kesi za kuwabambikia zisizokuwa na kichwa wala miguu. Lakini propaganda zinasema Tanzania ni nchi moja yenye katiba inayolinda haki za watu wote. Mwenye mach haambiwi tazama.

"Lililo baya zaidi maaskofu walioshindwa kuwashawishi wananchi waipokee na kukubali Ilani yao, wamekuja na kampeni za kuchochea uasi kwa serikali iliyopo madarakani. Lakini pamoja na hali hiyo, viongozi wa CCM na serikali wamebaki wanagwaya. Hakuna aliyeweza kupata ujasiri wa kukemea hali hii. Kinyume chake Waziri Mkuu na Mzee John Samwel Malecela wanahangaika huku na kule wakiwapigia magoti maaskofu hao na kuwakemea wanaothubutu kuwakosoa.
Hali kama hii ni hatari kwa usalama na utulivu wa nchi. Ni hali ya kuchochea udini na kuweka ombwe la uongozi wa kisiasa ambao utazua balaa. Waislamu hatuwezi kukubali hali hii. Kwa hiyo, ama CCM na serikali vitekeleze wajibu wao wa kuongoza au kama wanaona hawawezi, basi waseme rasmi ili Maaskofu na wengine wenye Ilani zao za uchaguzi waingie tena ulingoni kuomba ridhaa ya Watanzania kuongoza nchi kuliko kuishi katika hiki kiini macho ambapo maaskofu na mawakala wao ndani ya serikali wameachwa waikokote nchi wanakotaka".

Maoni yangu: Bado tukumbuke kuwa kuna misemo pia imewahi kusemwa kuwa kuanzia sasa Tanzania haitatawaliki tena.
TUNATAKA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA KUWEPO KWA "TUME YA MAJESHI YA KIVITA" IKIAINISHA KAZI YAKE, NA UHALALI WAKE.
Hatuwezi kukubali kufa na kuteseka kwa tamaa za watu wachache wenye uchu na madaraka kwa kutumia UDINI. Watu wasiothamini utu wa Mtu na thamani ya damu ya Watanzania. Tuandamane kwa hili.


Hakuna point hapa. sijui ni kwa nini mna mawzo ya kuwawazia wenenu ubaya ninyi watu!! nawashangaa sana, sasa kwani hayo mabomu yaliwabagua wakristo na kuwadhuru waislam pekeyetu??
Hili ni janga la taifa naungana na haop wanaowaza kufanyika uchunguzi juu y hili, au wananchi kusinikiza wote wanaohusika kuwajibishwa. mi sikubali kamwe kua ni suala linalohusu ukiristo au uislam hapa.
 
Kama ni kuandamana tuandamane kwa hili tukio la G/Mboto

Kuna mtu amenitonya: Anasema yeye alipigiwa simu na kaka yake ambaye ni Mjeshi pale G/Mboto saa 12:00 jioni siku ya tarehe 16/2/2011 kuwa aiondoshe familia yake haraka sana kwani kuna tukio litatokea usiku. Akabeba familia akaipeleka Kinondoni. Huyu jamaa nahifadhi jina lake ila ni mkristo. Nilimuuliza ikiwa amesalimika na tukio la mabomu kwa kuwa najua anaishi Gongo la mboto mwisho.

Ndipo nilipokumbuka lile Tamko la waislam lililowahi kubandikwa hapa JF. Tujikumbushe!
"(9) Papa John Paul II alipoitembelea Tanzania mwaka 1990, Kanisa Katoliki lilimkabidhi Ripoti yenye anwani: Activities of the Church in Tanzania. Katika ripoti yake hiyo Kanisa Katoliki limetaja kuwapo kwa Tume ya Majeshi ya Kivita [Commission of Armed Forces] ndani ya Kanisa hilo. Tangu wakati huo hadi leo Waislamu wameitaka serikali iwaondoshe hofu kwa kuweka wazi kazi za Tume hiyo ya Majeshi ya Kivita ndani ya Kanisa. Serikali haijajibu na wala haijajishughulisha na taarifa nzito kama hizo. Hatujui kama Tume hiyo ya Majeshi ya kivita inafanya kazi ndani ya Jeshi la Wananchi au nje ya jeshi hilo. Lakini kwa muktadha wa hali ya uhasama wa serikali na hasa wa Maaskofu dhidi ya Waislamu wanaowahesabu kuwa ni maadui zao, si vigumu kukisia kwa nini Kanisa Katoliki limeunda Tume ya Majeshi ya Kivita. Lakini serikali ambayo haishughulishwi kabisa na Tume ya Majeshi ya Kivita ya Wakatoliki imekuwa na tabia ya kuwakamata na kuwatia ndani Waislamu kwa kesi za kuwabambikia zisizokuwa na kichwa wala miguu. Lakini propaganda zinasema Tanzania ni nchi moja yenye katiba inayolinda haki za watu wote. Mwenye mach haambiwi tazama.

"Lililo baya zaidi maaskofu walioshindwa kuwashawishi wananchi waipokee na kukubali Ilani yao, wamekuja na kampeni za kuchochea uasi kwa serikali iliyopo madarakani. Lakini pamoja na hali hiyo, viongozi wa CCM na serikali wamebaki wanagwaya. Hakuna aliyeweza kupata ujasiri wa kukemea hali hii. Kinyume chake Waziri Mkuu na Mzee John Samwel Malecela wanahangaika huku na kule wakiwapigia magoti maaskofu hao na kuwakemea wanaothubutu kuwakosoa.
Hali kama hii ni hatari kwa usalama na utulivu wa nchi. Ni hali ya kuchochea udini na kuweka ombwe la uongozi wa kisiasa ambao utazua balaa. Waislamu hatuwezi kukubali hali hii. Kwa hiyo, ama CCM na serikali vitekeleze wajibu wao wa kuongoza au kama wanaona hawawezi, basi waseme rasmi ili Maaskofu na wengine wenye Ilani zao za uchaguzi waingie tena ulingoni kuomba ridhaa ya Watanzania kuongoza nchi kuliko kuishi katika hiki kiini macho ambapo maaskofu na mawakala wao ndani ya serikali wameachwa waikokote nchi wanakotaka".

Maoni yangu: Bado tukumbuke kuwa kuna misemo pia imewahi kusemwa kuwa kuanzia sasa Tanzania haitatawaliki tena.
TUNATAKA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA KUWEPO KWA "TUME YA MAJESHI YA KIVITA" IKIAINISHA KAZI YAKE, NA UHALALI WAKE.
Hatuwezi kukubali kufa na kuteseka kwa tamaa za watu wachache wenye uchu na madaraka kwa kutumia UDINI. Watu wasiothamini utu wa Mtu na thamani ya damu ya Watanzania. Tuandamane kwa hili.



Yaani wewe ni kiboko wa wadini hapa janvini,unaleta udini hata kwenye hili la mabomu ya gongo la mboto.....haaaaaaaaaaaa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom