Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Bila kujali nini kinaweza kuwa chanzo cha mwandishi wa gazeti la The Guardian bwana Simbeye kupigwa,magazeti yote ya kesho yanapaswa kuifanya hii habari kuwa ndio habari kuu yaani imeki-headlines katika magazeti ya kesho na kwenye tv na radio zote kuanzia leo.
Hata hivyo, kwa jinsi walivyo, sitashangaa kesho headlines zikawa ni habari ya Arusha na picha xa kina fulani ndio zikatawala alafu baada ya siku kadhaa watu hawa hawa watakutana na kutoa tamko la kulaani na kupinga tukio la mwenzao kushambuliwa na habari ikaishia hapo.
Hata hivyo, kwa jinsi walivyo, sitashangaa kesho headlines zikawa ni habari ya Arusha na picha xa kina fulani ndio zikatawala alafu baada ya siku kadhaa watu hawa hawa watakutana na kutoa tamko la kulaani na kupinga tukio la mwenzao kushambuliwa na habari ikaishia hapo.