sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,010
- 8,355
Pengine nilisemalo unaweza dhania natania ila ndo ukweli ulivyo kuna almashauri zinauza vitambulisho vya Rais kwa Mabar AMEDI na leo bahati nzuri nimewaona kwa macho yangu!
Ni ili ni agizo la mkurugenzi wa Almashauri ameelekeza mpk fundi viatu na Bar Amedi wauziwe virambulisho!
Mimi sioni shida sema nashauri kwa kuwa Bar Amedi huwa wanauza bia na kwa kuwa imegundulika kuwa wengi wao ulipwa ujira mdgo, na pengine kupelekea kujiuza ili waweze kukidhi ugumu wa maisha basi nashauri hiv
Kwa kuwa wao huwa wanauza bia zenye mwenyewe, waruhusiwe kupitia kitambulisho hicho kuuza nyuchi zo kihalali
Ni hayo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ili ni agizo la mkurugenzi wa Almashauri ameelekeza mpk fundi viatu na Bar Amedi wauziwe virambulisho!
Mimi sioni shida sema nashauri kwa kuwa Bar Amedi huwa wanauza bia na kwa kuwa imegundulika kuwa wengi wao ulipwa ujira mdgo, na pengine kupelekea kujiuza ili waweze kukidhi ugumu wa maisha basi nashauri hiv
Kwa kuwa wao huwa wanauza bia zenye mwenyewe, waruhusiwe kupitia kitambulisho hicho kuuza nyuchi zo kihalali
Ni hayo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app