Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Kila nikimsikia mgombea wa chama cha kijana naona kama hatokuwa wa mwisho afunge mlango. Huu ni msemo maarufu sana katika nchi ya Israeli. Kwa vile wanashambuliwa sana huwa wana utani wanoambiana. Wa mwisho afunge mlangoo... Kwa sasa Mgombea wa chama cha kijani na njano kama mmea wa alizeti.
Anaongea kama mtu ambae ni mhanga wa huu mfumo. Anaongea kiukawa ukawa, anaongea kama vile anapigia mstari kila kitu wasemacho Ukawa. Anaongea kama vile anathibitisha kwamba nae anaupenda ukombozi, kwamba anauchukia mfumo ambao yeye yupo ndani yake. Mbona itafurahisha sana kama ataamnua kwamba yeye sio wa kufunga mlango.
Anaongea kama mtu ambae ni mhanga wa huu mfumo. Anaongea kiukawa ukawa, anaongea kama vile anapigia mstari kila kitu wasemacho Ukawa. Anaongea kama vile anathibitisha kwamba nae anaupenda ukombozi, kwamba anauchukia mfumo ambao yeye yupo ndani yake. Mbona itafurahisha sana kama ataamnua kwamba yeye sio wa kufunga mlango.