Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,993
- 144,329
Hii dhana kuwa Jeshi linapokuwa na utii ni matokeo ya viongozi wa juu wa Jeshi huwa inanifanya nijiulize kama huo ndio ukweli, mtu kama Samweli Doe aliwezaje kuongoza mapinduzi ya kijeshi akiwa na cheo Sergeant?
Hata Idd Amini si alikuwa na cheo kidogo tu jeshini alipopindua serikali?
Labda swali liwe ni vipi wanajeshi wa ngazi za chini katika mataifa mbalimbali duniani huweza kufanikisha mapinduzi ya kijeshi huku wakubwa zao wakiwemo?
Hata Idd Amini si alikuwa na cheo kidogo tu jeshini alipopindua serikali?
Labda swali liwe ni vipi wanajeshi wa ngazi za chini katika mataifa mbalimbali duniani huweza kufanikisha mapinduzi ya kijeshi huku wakubwa zao wakiwemo?