Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
Ni jambo la kuvutia na kutia moyo kuwa kina mama tunafikiriwa katika nafasi za uongozi serekalini ngazi zote ingawa bado ngazi ya urais.Kuwepo kwetu kwenye hizi ngazi za chini kumetufanya tuaminiwe kwa utendaji wetu na kuondo dhana ya kubebwa. Fikiri kuhusu Migiro,Ghasia,Makinda,Maria Sarungi,Sophia Simba,Nagu.Mdee,Sakaya,Tibaijuka,Saada,kwa kuwataja wachache. Hamuoni kuwa ni muda muafaka ikapita kauli mbiu kama ile ya uspika iliyosema safari hii ni zamu ya mwanamke ili iwe wazi.Maana hizi kauli zinasaidia kuwezesha mabo.Huyo Wanaohusika kutengeneza hizo kaulimbiu tafadhali fanyeni hima