Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,266
Iliisha kama ilivoanzaDah ...nakumbuka Kuna dem Mmoja nlimzungukia Sana Yan Sana Alikua mteja wangu. Nilipata Sana tabu kumuingiza 18 basi bhana nikaamua nimpotezee... Siku nimekaa nikakuta SMS asubuh "I love you" kutoka kwake ...sikuchelewesha nikapiga CM nikauliza are you serious akasema yes... Bas nikawa nachakata Sana Yan Sana.. After three weeks naamka asubuh Nakuta text "let's end this relationship " sikujibu mpaka Leo kikubwa napumua tu