Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,691
- 63,440
Nikiwa form 3 nilianzisha uhusiano na binti yupo form 1. Huyu binti alikua na X wake ambaye yupo form 2, wote tupo shule moja.
Yeye na ex wake walisoma primary pamoja ila jamaa alivyofaulu kuja seco akamtema binti.
Anyway, mapenzi na mimi yakanoga shule nzima ikajua. Nilikua na mashati 3 ya shule, kuna siku alinikumbatia lile shati nililovaa siku ananikimbatia sikulifua nililificha kwenye sanduku, nikimmiss nanusa shati.
Uhusiano ulikua hot mbaya, yaani ilikua siku za mitihani mmoja akimaliza mtihani anaenda kuzengea darasa la mwenzake, na mwenzake akiona tu kua partner kashamaliza na yeye anatoka muda huo huo regardless kamaliza pepa ama la.
Basi siku ikafika ilikua Alhamisi, kipindi cha mitihani, naangalia dirishani naona mchumba yuko nje tayari, nikakusanya pepa hata sijamaliza maswali nikatoka nje. Tukapiga stori mbili tatu kisha akaniambia kuna kitu ataniambia j3 tukimaliza pepa.
Nikakomaa aniambie siku hiyo, akajibu kesho ni pepa, nikamjibu kiingereza hakinisumbui aseme tu.
Akaniuliza "Unaonaje tukiachana?" Nikauliza "Hiki ndiyo ulitaka kuniambia?" Akajibu "Ndiyo"
Nikapiga magoti. Hapo tupo Sinza Kijiweni. Tupo Sinza Kijiweni na sare za shule ila mimi nikapiga magoti huku napigana na machozi yasitoke kumanina. Binti akageuka upande mwingine hata kuniangalia hataki.
Hasira zikanikaba nikainuka nikaingia ndani ya gari. Ghafla mshkaji wangu anaingia ndani ya gari ananiambia "Castr umepanda gari la Msasani" mimi ninaishi Mwananyamala wazee, kushuka nikashindwa.
Nikarudi nyumbani, lile shati nikafua.
Manina, hii ilikua ni break up iliyonijenga mno. Alhamisi nikatemwa. Jumamosi ombi langu kwa binti mmoja hata humu namuona likagonga mwamba.
Nilikua shit si kipolepole.
Binti aliitwa Mwanne.
Yeye na ex wake walisoma primary pamoja ila jamaa alivyofaulu kuja seco akamtema binti.
Anyway, mapenzi na mimi yakanoga shule nzima ikajua. Nilikua na mashati 3 ya shule, kuna siku alinikumbatia lile shati nililovaa siku ananikimbatia sikulifua nililificha kwenye sanduku, nikimmiss nanusa shati.
Uhusiano ulikua hot mbaya, yaani ilikua siku za mitihani mmoja akimaliza mtihani anaenda kuzengea darasa la mwenzake, na mwenzake akiona tu kua partner kashamaliza na yeye anatoka muda huo huo regardless kamaliza pepa ama la.
Basi siku ikafika ilikua Alhamisi, kipindi cha mitihani, naangalia dirishani naona mchumba yuko nje tayari, nikakusanya pepa hata sijamaliza maswali nikatoka nje. Tukapiga stori mbili tatu kisha akaniambia kuna kitu ataniambia j3 tukimaliza pepa.
Nikakomaa aniambie siku hiyo, akajibu kesho ni pepa, nikamjibu kiingereza hakinisumbui aseme tu.
Akaniuliza "Unaonaje tukiachana?" Nikauliza "Hiki ndiyo ulitaka kuniambia?" Akajibu "Ndiyo"
Nikapiga magoti. Hapo tupo Sinza Kijiweni. Tupo Sinza Kijiweni na sare za shule ila mimi nikapiga magoti huku napigana na machozi yasitoke kumanina. Binti akageuka upande mwingine hata kuniangalia hataki.
Hasira zikanikaba nikainuka nikaingia ndani ya gari. Ghafla mshkaji wangu anaingia ndani ya gari ananiambia "Castr umepanda gari la Msasani" mimi ninaishi Mwananyamala wazee, kushuka nikashindwa.
Nikarudi nyumbani, lile shati nikafua.
Manina, hii ilikua ni break up iliyonijenga mno. Alhamisi nikatemwa. Jumamosi ombi langu kwa binti mmoja hata humu namuona likagonga mwamba.
Nilikua shit si kipolepole.
Binti aliitwa Mwanne.