Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,811
- 10,819
Nimegundua ikiwa wewe unaendelea kumtumainia Mungu akuvushe bahari ya sham kwa miujiza yake wanzako wanavuka kwa kutumia ndumba za MisriPole mzee... unataka kulala ndani ukisubiri kudra au riziki?
Nyie ndio wazee wa kumlaumu Mungu na kumuona mbaguzi kumbe ni uzembe wako tu.
Ushaambiwa dunia ya kibepari endelea kutia huruma kama hujaona kila mtu mbaya machoni kwako