EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Mnyonge ni mimi na wewe ambao haki zetu zinadhulumiwa kwa makusudi au bahati mbaya.
Mnyonge ni mimi na wewe tusio na konekisheni ya kupewa ajira serikalini.
Mnyonge ni mimi na wewe ambao hatuwezi kusoma elimu ya juu bila kupewa mkopo na serikali.
Mnyonge ni mimi na wewe ambao tunasoma elimu duni na kupewa huduma mbaya za kiafya.
Mnyonge ni mimi na wewe ambao tunaishi maisha ya hali ya chini katika jamii.
Katika biashara mnyonge ni mtu ambaye ananyonywa katika biashara na wafanya biashara wa tabaka la juu.
Mnyonge pia ni mtu ambaye kodi anazolipa zinaliwa na watu wa tabaka la juu.
Mnyonge ni mimi na wewe tusio na konekisheni ya kupewa ajira serikalini.
Mnyonge ni mimi na wewe ambao hatuwezi kusoma elimu ya juu bila kupewa mkopo na serikali.
Mnyonge ni mimi na wewe ambao tunasoma elimu duni na kupewa huduma mbaya za kiafya.
Mnyonge ni mimi na wewe ambao tunaishi maisha ya hali ya chini katika jamii.
Katika biashara mnyonge ni mtu ambaye ananyonywa katika biashara na wafanya biashara wa tabaka la juu.
Mnyonge pia ni mtu ambaye kodi anazolipa zinaliwa na watu wa tabaka la juu.