Gigo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2006
- 456
- 46
Ni sawa..Kama Ilivyo sasa!!...
Yupo JK Mfano!!.wengine wapo mitaani wenye uwezo kama yeye au hata zaidi...Lakini wapo mitaani...labda Hawajiamini ..au hawapendi kuwa Ma-Raisi...
Wapo wachoyo kama wewe.. na wapo wanao penda maendeleo ya nchi yao Kama mimi...or (kinyumechake ni kweli..)...
Hofu yako ndio Laana yako..sema uliyo nayo Itawasaidia watakao baki Hata ukifa..wakati huu tulio nao hatupaswi Ku wa wachoyo wa fikra..kama una mawazo sema..Inawezekana Ukawa Mtaalamu wa kufikiria Lakini sio Mtaalamu wa kutenda..
Raisi sio Yeye peke yake Ile ni Taa sisi..
Yupo JK Mfano!!.wengine wapo mitaani wenye uwezo kama yeye au hata zaidi...Lakini wapo mitaani...labda Hawajiamini ..au hawapendi kuwa Ma-Raisi...
Wapo wachoyo kama wewe.. na wapo wanao penda maendeleo ya nchi yao Kama mimi...or (kinyumechake ni kweli..)...
Hofu yako ndio Laana yako..sema uliyo nayo Itawasaidia watakao baki Hata ukifa..wakati huu tulio nao hatupaswi Ku wa wachoyo wa fikra..kama una mawazo sema..Inawezekana Ukawa Mtaalamu wa kufikiria Lakini sio Mtaalamu wa kutenda..
Raisi sio Yeye peke yake Ile ni Taa sisi..