Kwani Bajaji wanampa kias gani boss?Mtumishi wa umma sekta flani anachukua take home Tsh 900,000/= kwa mwezi yaani kwa siku anatengeneza net profit ya Tsh 30,000/=
Haya hebu tuambie ni biashara gani inakupa faida ya elfu thelathini kwa siku mfululizo kwa siku 30 na je hiyo biashara inahitaji mtaji kiasi gani