Harvest
Member
- Jan 3, 2013
- 55
- 31
Kwanza nina zaidi ya miaka 30,nahitaji mke ambae nitamheshimu nae ataniheshimu,kwa kifupi tutaheshimiana
Kazi yangu ni mjasiria mali mdogo sana,yani ndo natafuta hela,kama wewe ni binti,mwanamke unahitaji mume unakaribishwa haijalishi umri ulionao kuwa mkubwa kuliko mimi,kama uko tayari kulala chini na kushindia dagaa karibu
Sifanyi utani hivyo sitaraji mtu wa kunitania pia,napatikana kanda ya ziwa ni PM kama unataka ndoa ya uhakika na ya furaha.
Kazi yangu ni mjasiria mali mdogo sana,yani ndo natafuta hela,kama wewe ni binti,mwanamke unahitaji mume unakaribishwa haijalishi umri ulionao kuwa mkubwa kuliko mimi,kama uko tayari kulala chini na kushindia dagaa karibu
Sifanyi utani hivyo sitaraji mtu wa kunitania pia,napatikana kanda ya ziwa ni PM kama unataka ndoa ya uhakika na ya furaha.