Kama UNATAKA mahusiano yako yadumu, Simple we Fanya hivi.

Akilitime

JF-Expert Member
Dec 27, 2017
581
757
Hakuna kitendo kinachoharibu mahusiano mengi pamoja Na kuleta mabalaa kwenye ndoa kama kujiharishia tendo la ndoa kabla ya Ndoa yenyewe.
Wakuu kamwe asishiriki tendo la ndoa kabla hamjaoana.
Najua wengi watabisha kwasababu hiki ni kizazi kilichotawaliwa na ngono.
Lakini ukweli utabaki huo huo. Nothing kills relationship like sex before marriage.
Ushauri wangu, ili kuepuka vishawishi basi anzisha UCHUMBA pale utakapokuwa umejiona upo tayari kuona /kuolewa.
Achana Na mahusiano ya girlfriend Na boyfriend. You will lose your time and resources.
Sex before marriage is a curse.
 
Corrections.
*Kuona=kuoa
*Kujiharishia=kujiharalishia
QUOTE="Akilitime, post: 30720283, member: 469950"]Hakuna kitendo kinachoharibu mahusiano mengi pamoja Na kuleta mabalaa kwenye ndoa kama kujiharishia tendo la ndoa kabla ya Ndoa yenyewe.
Wakuu kamwe asishiriki tendo la ndoa kabla hamjaoana.
Najua wengi watabisha kwasababu hiki ni kizazi kilichotawaliwa na ngono.
Lakini ukweli utabaki huo huo. Nothing kills relationship like sex before marriage.
Ushauri wangu, ili kuepuka vishawishi basi anzisha UCHUMBA pale utakapokuwa umejiona upo tayari kuona /kuolewa.
Achana Na mahusiano ya girlfriend Na boyfriend. You will lose your time and resources.
Sex before marriage is a curse.[/QUOTE]
 
Hakuna kitendo kinachoharibu mahusiano mengi pamoja Na kuleta mabalaa kwenye ndoa kama kujiharishia tendo la ndoa kabla ya Ndoa yenyewe.
Wakuu kamwe asishiriki tendo la ndoa kabla hamjaoana.
Najua wengi watabisha kwasababu hiki ni kizazi kilichotawaliwa na ngono.
Lakini ukweli utabaki huo huo. Nothing kills relationship like sex before marriage.
Ushauri wangu, ili kuepuka vishawishi basi anzisha UCHUMBA pale utakapokuwa umejiona upo tayari kuona /kuolewa.
Achana Na mahusiano ya girlfriend Na boyfriend. You will lose your time and resources.
Sex before marriage is a curse.
Mbona hujaleta ushahidi naona kama unatoa mtazamo wako tu.....leta vyelelezo kudhibitisha hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitendo kinachoharibu mahusiano mengi pamoja Na kuleta mabalaa kwenye ndoa kama kujiharishia tendo la ndoa kabla ya Ndoa yenyewe.
Wakuu kamwe asishiriki tendo la ndoa kabla hamjaoana.
Najua wengi watabisha kwasababu hiki ni kizazi kilichotawaliwa na ngono.
Lakini ukweli utabaki huo huo. Nothing kills relationship like sex before marriage.
Ushauri wangu, ili kuepuka vishawishi basi anzisha UCHUMBA pale utakapokuwa umejiona upo tayari kuona /kuolewa.
Achana Na mahusiano ya girlfriend Na boyfriend. You will lose your time and resources.
Sex before marriage is a curse.
Wanakuja na povu mkuu
 
Mwanamume na mwanamke wanapooana, wao huwa “mwili mmoja.” Watu wawili ambao hawajaoana wanapofanya ngono, ambao huitwa uasherati, wao pia huwa “mwili mmoja,” lakini huo ni mwili ambao Mungu huuona kuwa najisi.* Isitoshe, miungano kama hiyo si upendo. Kwa nini tunasema hivyo?—Marko 10:7-9; 1 Wakorintho 6:9, 10, 16.Q
="mulwanaka, post: 30720342, member: 417135"]Mbona hujaleta ushahidi naona kama unatoa mtazamo wako tu.....leta vyelelezo kudhibitisha hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa ku comment kabisa
Ila nasubiri page zisogee kwanza

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kivipi kinaweza kuleta madhara kwenye ndoa, mkuu?

Kwanza ulichokiandika ni kitu kizuri kwasababu kuzini ni jambo ambalo halimpendezi Mungu

Linaweza kuleta madhara kwasababu unaweza kukuta mwanaume/mwanamke hana vile vitu ulivyokuwa unataka au kutarajia awe navyo(katika kuridhisha kimapenzi)...sio kwa nia mbaya ila kuna wanaume inasemekana wana vibamia,wapo wale wa bao moja kwa mda mfupi
Au kuna wanawake wana mapungufu katika sehemu zao

Sasa kwa mana hiyo huoni kama risk ya kuchepuka ni kubwa ukilinganisha na hii tuliyonayo sasa ya kuwa katika mahusiano na kufanya mapenzi?
 
Back
Top Bottom