Soma Vitabu Tanzania
Member
- Jul 20, 2019
- 40
- 45
Jukumu letu kubwa ni kuwa bora leo zaidi ya tulivyokuwa jana.
Njia pekee ya kuwa bora ni kujifunza kupitia usomaji wa vitabu.
Vipo vitabu vya aina nyingi ambavyo vinaweza kukupa maarifa mbalimbali. Lakini vitabu vya maendeleo binafsi (personal development) vinakupa maarifa, mbinu na hamasa ya kuweza kupiga hatua na kufanikiwa kwenye maisha yako.
Huu ni uzi maalumu wa kushirikishana vitabu vya maendeleo binafsi (personal development).
Kwa kuanzia, hapa ni orodha ya vitabu 10 vya maendeleo binafsi ambavyo wengi wanakiri vimewasaidia;
1. Think And Grow Rich cha Napoleon Hill.
2. The 7 Habits Of Highly Effective People cha Steven Covey.
3. How To Win Friends And Influence People cha Dale Carnegie
4. The Richest Man In Babylon cha George Classon.
5. The 10x Rule: The Only Difference Between Success And Failure cha Grant Cardone
6. Rich Dad Poor Dad cha Robert Kiyosaki
7. Eat That Frog cha Brian Tracy
8. Getting Things Done cha David Allen
9. Influence: The Psychology Of Persuasion cha Robert Cialdini
10. The Success Principles- How To Get From Where You Are To Where You Want To Be cha Jack Canfield.
Karibu ushirikishe kitabu cha maendeleo binafsi ambacho umewahi kusoma na kikakusaidia sana.
Pia kama kuna kitabu unatafuta uliza kwenye uzi huu na tutashirikishana.
Karibuni sana wote.
SOMA VITABU TANZANIA.
Njia pekee ya kuwa bora ni kujifunza kupitia usomaji wa vitabu.
Vipo vitabu vya aina nyingi ambavyo vinaweza kukupa maarifa mbalimbali. Lakini vitabu vya maendeleo binafsi (personal development) vinakupa maarifa, mbinu na hamasa ya kuweza kupiga hatua na kufanikiwa kwenye maisha yako.
Huu ni uzi maalumu wa kushirikishana vitabu vya maendeleo binafsi (personal development).
Kwa kuanzia, hapa ni orodha ya vitabu 10 vya maendeleo binafsi ambavyo wengi wanakiri vimewasaidia;
1. Think And Grow Rich cha Napoleon Hill.
2. The 7 Habits Of Highly Effective People cha Steven Covey.
3. How To Win Friends And Influence People cha Dale Carnegie
4. The Richest Man In Babylon cha George Classon.
5. The 10x Rule: The Only Difference Between Success And Failure cha Grant Cardone
6. Rich Dad Poor Dad cha Robert Kiyosaki
7. Eat That Frog cha Brian Tracy
8. Getting Things Done cha David Allen
9. Influence: The Psychology Of Persuasion cha Robert Cialdini
10. The Success Principles- How To Get From Where You Are To Where You Want To Be cha Jack Canfield.
Karibu ushirikishe kitabu cha maendeleo binafsi ambacho umewahi kusoma na kikakusaidia sana.
Pia kama kuna kitabu unatafuta uliza kwenye uzi huu na tutashirikishana.
Karibuni sana wote.
SOMA VITABU TANZANIA.