Hipolitetz
Member
- Nov 21, 2016
- 44
- 36
Sasso wanaanza kutaga wakiwa na umr gani?Mkuu unatumia majogoo wa nje?( Yaani umri tofauti na hao tetea )
Maana nikifuga Sasso ila matetea walipofika umri wa kutaga changamoto ikawa majogoo walikuwa Bado hawajapevuka
Kuchi ni aina gani?