komoakomesha
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 285
- 397
Jamani mimi ni fundi ujenzi wa majumba makubwa yakiwemo maghorofa, kilichotokea wiki hii nimepata mchongo mmoja wa kazi. Kuna mjengo unainuliwa maeneo ya Mbweni huku, kimbembe kikaja kwenye mapatano jamaa kamsakizia mkewe ndo tuelewane kazi.
Bwanaee mkewe kaumbika kama Mnyarwanda fulani hapo kati kiuno cha nyigu, nyuma bonge la kalio, jamaa yeye kaganda kwenye gari, kamuacha mkewe ndio tuelewane nae.
Yule dada kanibana kwenye Bei nimejikuta kazi ya milioni 16 naifanya kwa million 12, yule dada analialia kinoma kwamba ndio waliyonayo, ila sawa tu nilichopanga moyoni ni kumkomesha kwenye matilio sument, nondo, vifusi, kokoto na mbao mabati.
Nasema atajuta kuzaliwa labda nisiwe nimetoka Moshi mimi na hawa mafundi wangu na wasaidizi mwendo wa kuwabana tu hadi kieleweke, hapa kanipa kianzio milion 6, ngoja nikapozee koo pale kwetu pazuri bar kisha nikale biriani kwa Mariamu biriani.
Bwanaee mkewe kaumbika kama Mnyarwanda fulani hapo kati kiuno cha nyigu, nyuma bonge la kalio, jamaa yeye kaganda kwenye gari, kamuacha mkewe ndio tuelewane nae.
Yule dada kanibana kwenye Bei nimejikuta kazi ya milioni 16 naifanya kwa million 12, yule dada analialia kinoma kwamba ndio waliyonayo, ila sawa tu nilichopanga moyoni ni kumkomesha kwenye matilio sument, nondo, vifusi, kokoto na mbao mabati.
Nasema atajuta kuzaliwa labda nisiwe nimetoka Moshi mimi na hawa mafundi wangu na wasaidizi mwendo wa kuwabana tu hadi kieleweke, hapa kanipa kianzio milion 6, ngoja nikapozee koo pale kwetu pazuri bar kisha nikale biriani kwa Mariamu biriani.