Kama unatafuta kazi suluhisho lako lipo hapa-ba recruitment agency

HIMO ONE

Senior Member
Sep 6, 2010
128
7
Ndugu wadau na watanzania wote kwa ujumla,napenda kuwatangazia kuwa mkombozi wa ajira sasa amekuja Tanzania.Kampuni mpya ya kutafuta kazi imeanzishwa hapa Dar-es-Salaam,inaitwa BA Recruitment Agency.Japo kutakuwa na gharama kiasi kwa ajili ya kuchangia huduma hii,napenda kuwahakikishia kuwa tuna uzoefu wa muda mrefu na tutajitahidi kukufikia na kukusaidia kwa wakati,Kazi tulizonazo kwa sasa ni kama ifuatavyo;

-Wahasibu
-Masoko
-Maafisa/Mameneja Utumishi
-Wanasheria
-Madereva
-Maafisa Uhusiano
-Masecretari
-Watafsiri
-Waalimu

Kazi hizi zipo hapa Dar-Es-Salaam na nyingine ziko nje ya Dar kama Morogoro,Arusha,Manyara na Mbeya.

Tafadhali wahi sasa tuma CV yako patakazi1981@gmail.com ,tutawasiliana na wewe mara moja kukujulisha gharama za huduma na taratibu nyingine.

AHSANTENI SANA NA KARIBUNI WOTE.
 
Ndugu wadau na watanzania wote kwa ujumla,napenda kuwatangazia kuwa mkombozi wa ajira sasa amekuja Tanzania.Kampuni mpya ya kutafuta kazi imeanzishwa hapa Dar-es-Salaam,inaitwa BA Recruitment Agency.Japo kutakuwa na gharama kiasi kwa ajili ya kuchangia huduma hii,napenda kuwahakikishia kuwa tuna uzoefu wa muda mrefu na tutajitahidi kukufikia na kukusaidia kwa wakati,Kazi tulizonazo kwa sasa ni kama ifuatavyo;

-Wahasibu
-Masoko
-Maafisa/Mameneja Utumishi
-Wanasheria
-Madereva
-Maafisa Uhusiano
-Masecretari
-Watafsiri
-Waalimu

Kazi hizi zipo hapa Dar-Es-Salaam na nyingine ziko nje ya Dar kama Morogoro,Arusha,Manyara na Mbeya.

Tafadhali wahi sasa tuma CV yako patakazi1981@gmail.com ,tutawasiliana na wewe mara moja kukujulisha gharama za huduma na taratibu nyingine.

AHSANTENI SANA NA KARIBUNI WOTE.

nimeshawatumia CV mkuu naomba mnipe piority pls
 
Nimesha-respond to your email please contact me for further info. Kila kitu kipo kwenye hiyo CV yangu.
 
Nimesha-respond to your email please contact me for further info. Kila kitu kipo kwenye hiyo CV yangu.

mimi wamenitumia form ya kujaza ndio nahangaika nayo hapa niwarudishie ila kuna fees ya kama 50,000/= na asilimia ishirini ya mshahara sasa hii haieleweki kidogo kama hawa jamaa wapo hapa watueleweshe haya malipo yakoje?
 
Ndugu wadau na watanzania wote kwa ujumla,napenda kuwatangazia kuwa mkombozi wa ajira sasa amekuja Tanzania.Kampuni mpya ya kutafuta kazi imeanzishwa hapa Dar-es-Salaam,inaitwa BA Recruitment Agency.Japo kutakuwa na gharama kiasi kwa ajili ya kuchangia huduma hii,napenda kuwahakikishia kuwa tuna uzoefu wa muda mrefu na tutajitahidi kukufikia na kukusaidia kwa wakati,Kazi tulizonazo kwa sasa ni kama ifuatavyo;

-Wahasibu
-Masoko
-Maafisa/Mameneja Utumishi
-Wanasheria
-Madereva
-Maafisa Uhusiano
-Masecretari
-Watafsiri
-Waalimu

Kazi hizi zipo hapa Dar-Es-Salaam na nyingine ziko nje ya Dar kama Morogoro,Arusha,Manyara na Mbeya.

Tafadhali wahi sasa tuma CV yako patakazi1981@gmail.com ,tutawasiliana na wewe mara moja kukujulisha gharama za huduma na taratibu nyingine.

AHSANTENI SANA NA KARIBUNI WOTE.
patakazi1981 huo mwaka ndiyo uliozaliwa? can't this be a nigerian scamm?
immagine 100 cvX50,000=5,000,000

I should start my patakazi1947@google.com for a ka-small fee of 45,000tsh
 
haya mambo ndo mimi huwa nayakataa, hata kama uko desperate na kutafuta kazi inabidi umuhoji huyo jamaa maswali yafuatayo:

1. Ofisi zao ziko wapi? na je wana website yeyote?
2. Na je, itakuwaje wakutafutie kazi afu wakutoze application fee ya Tshs. 50,000 kwa uzoefu wangu ni kwamba kampuni/taasisi inayotafuta wafanyakazi kupitia kwenye recruitment firm yeyote ndo wanaotakiwa walipe na sio mtafuta ajira.
3. Mwisho kabisa usipende kutuma CV yako kwa watu wasiofahamika na hasa wanaotumia e-mail address za bure kama vile yahoo, gmail, hotmail, livemail,rocketmail
 
mimi wamenitumia form ya kujaza ndio nahangaika nayo hapa niwarudishie ila kuna fees ya kama 50,000/= na asilimia ishirini ya mshahara sasa hii haieleweki kidogo kama hawa jamaa wapo hapa watueleweshe haya malipo yakoje?

embu itundike hiyo form wadau tui-check kabla hutatapeliwa! haiingii akilini ....huna pesa na ndo maana unatafuta ajira but mtu anakwambia umlipe 50,0000. Isije ikawa na wao wamekosa ajira then wameamua watengeneze kadude kao ka kuwaingizi kipato. ha ha ha kweli nimeamini " Knowlege is Power"
 
mimi wamenitumia form ya kujaza ndio nahangaika nayo hapa niwarudishie ila kuna fees ya kama 50,000/= na asilimia ishirini ya mshahara sasa hii haieleweki kidogo kama hawa jamaa wapo hapa watueleweshe haya malipo yakoje?

Kuweni makini wadau,ulizeni wale jamaa wa Erolink wanaofanya kazi za customer care voda.
MATANGAZO YA KAZI YANATOKA KILA SIKU, USIWE MVIVU KUWEKA KWA MUUZA MAGAZETI TSH 20,000 YA KUSOMA THE GUARDIAN NA DAILY NEWS KILA SIKU, UTABAHATISHA TU SIKU MOJA,NA PIA KUWA MVUMILIVU NA INTERVIEW RESULTS MAANA NDO UNAJENGA UWEZO WAKO WA KUJIELEZA. SOMA MAGAZETI HAYO,TUMA MAOMBA HATA MARA 1000,JIANDAE VIZURI KWA INTERVIEW NA IPO SIKU ITAKUWA ZAMU YAKO KUPATA KAZI.

THANKS.
 
Mmmmmh huo utapeli kwa wanangwini ila kwa wanascience hamtupati ng'ooooo, mi ni pure scientist hapa sidanganyikiiiiiiiiii.
 
Mmh type za wezi kama hawa zipo nyingi,kuna moja recruitment agency ipo mabibo hostel yani ni matapeli sijapata kuona,lets trust in god,tutapata tu,yani utoe 50,000 hata kaz hujapata?labda ukipata ndo uwape itamake sense kdogo,dah kwel elimu haina thaman tanzania,watu tunahustle mpaka tunapauka,tusife moyo.
 
mimi wamenitumia form ya kujaza ndio nahangaika nayo hapa niwarudishie ila kuna fees ya kama 50,000/= na asilimia ishirini ya mshahara sasa hii haieleweki kidogo kama hawa jamaa wapo hapa watueleweshe haya malipo yakoje?
Don't pay for getting a job!!!those guys are a hoax! You should send your CV to reputable recruiters who charge their clients and not u the candidate! Such as radar, e goli, epic etc
 
Siku zote nikiona maombi ya kazi kupitia email ya gmail, yahoo, hotmail, excite and the like sipotezi muda wangu kupeleke cv
 
Himo one...unatafuta mtaji wa kwenda kuwekeza HIMO- Knjaro.. Acha kuwaibia watu...ni dhambi kubwa hiyo. Kama unatoa huduma nashauri utoe huduma malipo yatakuja baada ya kujijengea jina....Huu ni wizi wa kinigeria kama mjumbe alivyosema hapo juu.
 
Dah! ujambazi mwingine umeshaingia, na watu wa humuhumu JF hasa wageni-vijana waliotoka chuo mwaka huu ndiyo haswaa walengwa! Tumieni akili zenu za kuzaliwa, mtu anakupa email adress yake, tena ya gmail wewe unatuma cv na pesa!!!!!!!! hivyo vichwa vyenu mnavitumiaje? tena bila aibu mnarespond fastafasta bila hata kuhoji....! Msishangae na hako ka cv ukakuta anakatumia jamaa flani hukooo namtumbo Kwanye migodi ya uranium!! tweh teh!
 
Ndugu wadau na watanzania wote kwa ujumla,napenda kuwatangazia kuwa mkombozi wa ajira sasa amekuja Tanzania.Kampuni mpya ya kutafuta kazi imeanzishwa hapa Dar-es-Salaam,inaitwa BA Recruitment Agency.Japo kutakuwa na gharama kiasi kwa ajili ya kuchangia huduma hii,napenda kuwahakikishia kuwa tuna uzoefu wa muda mrefu na tutajitahidi kukufikia na kukusaidia kwa wakati,Kazi tulizonazo kwa sasa ni kama ifuatavyo;

-Wahasibu
-Masoko
-Maafisa/Mameneja Utumishi
-Wanasheria
-Madereva
-Maafisa Uhusiano
-Masecretari
-Watafsiri
-Waalimu

Kazi hizi zipo hapa Dar-Es-Salaam na nyingine ziko nje ya Dar kama Morogoro,Arusha,Manyara na Mbeya.

Tafadhali wahi sasa tuma CV yako patakazi1981@gmail.com ,tutawasiliana na wewe mara moja kukujulisha gharama za huduma na taratibu nyingine.

AHSANTENI SANA NA KARIBUNI WOTE.


usanii mputu huu! kampuni ni mpya halafu ina uzoefu?? imekaaje hii??
 
Kazi nitafute mimi, kulipia nilipie. Hivi mpo serious ninyi? Kwanza hamjatoa mawasiliano yoyoye mnajua kuwa watu wapo desperate na kupata kazi mntaka kuwa exploit kutumia hiyo weekness, Mimi sijawahi sikia, Kuna recruitment agency kama Delloite, Radar hawacharge wala nini. Hebu kama mpo makini toeni information zaidi.
 
Ndugu wadau na watanzania wote kwa ujumla,napenda kuwatangazia kuwa mkombozi wa ajira sasa amekuja Tanzania.Kampuni mpya ya kutafuta kazi imeanzishwa hapa Dar-es-Salaam,inaitwa BA Recruitment Agency.Japo kutakuwa na gharama kiasi kwa ajili ya kuchangia huduma hii,napenda kuwahakikishia kuwa tuna uzoefu wa muda mrefu na tutajitahidi kukufikia na kukusaidia kwa wakati,Kazi tulizonazo kwa sasa ni kama ifuatavyo;

-Wahasibu
-Masoko
-Maafisa/Mameneja Utumishi
-Wanasheria
-Madereva
-Maafisa Uhusiano
-Masecretari
-Watafsiri
-Waalimu

Kazi hizi zipo hapa Dar-Es-Salaam na nyingine ziko nje ya Dar kama Morogoro,Arusha,Manyara na Mbeya.

Tafadhali wahi sasa tuma CV yako patakazi1981@gmail.com ,tutawasiliana na wewe mara moja kukujulisha gharama za huduma na taratibu nyingine.

AHSANTENI SANA NA KARIBUNI WOTE.


WADAU HAWA JAMAA WAKO REAL ILA NAHISI HAWANA ADRESS MIMI NILITUMA CV YANGU JUZI WAKANIPIGIA SIMU BWANA MMOJA ANAITWA Elihuruma YEYE NI MD WAO NIMEKUTANA NAE JANA HOTELI YA BLUE PEARL UBUNGO AKANIELEZA KUWA WALIKUWA NA OFISI MAGOMENI MIKUMI BLOCK 15 ILA KWA SASA WAMEHAMA NA WANAFANYIA KAZI ZAO NYUMBANI KWAKE MBEZI BEACH AMBAPO AMEFUNGUA OFISI HAPO.

WALIKUWA WAWILI WAKANIINTERVIEW NA KWA KWELI JAMAA WANAFAHAMU VIZURI MAMBO MENGI.TULIAGANA NA NILIWALIPA KWA MOYO MWEUPE SH 50,000/=NA WAKANIPA RISITI YA REGISTRATION NA SERVICE FEES WAMENIINGIZA KWENYE DATABASE YAO NA MIMI NI MTU WA 290.LEO SAA NANE MCHANA NIMEPOKEA SIMU YA GM WA LEM AND LEN INDUSTRIES MR KUMAR,NIMEAMBIAWA WAMEPATA DETAILS ZANGU KUTOKA BA RA NA KESHO SAA TATU KAMILI NIENDE OFISINI KWAO TABATA KWA AJILI YA INTERVIEW NA MAMBO MENGINE INSHALAH MAMBO YAKIKAA SAWA NITAWAUPDATE WAKUU.

NAFIKIRI LAZIMA TUKUBALI KUCHUKUA TAHADHARI NI MUHIMU LAKINI KUTAKE RISK INAWEZA SAIDIA SANA 50,000/=HAITOSHI KWA STAREHE ZA SIKU MOJA HAPA DAR ILA UNAWEZA PATA KAZI YA MAMILIONI KWA KULIPA 50,000/=EMBU TUJARIBU TUONE NA MIMI NITAWALETEA HABARI WHICH I HOPE WILL BE POSITIVE TOMMOROW AFTER MY INTERVIEW.
 
Back
Top Bottom