AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
wadau hawa jamaa wako real ila nahisi hawana adress mimi nilituma cv yangu juzi wakanipigia simu bwana mmoja anaitwa elihuruma yeye ni md wao nimekutana nae jana hoteli ya blue pearl ubungo akanieleza kuwa walikuwa na ofisi magomeni mikumi block 15 ila kwa sasa wamehama na wanafanyia kazi zao nyumbani kwake mbezi beach ambapo amefungua ofisi hapo.
Walikuwa wawili wakaniinterview na kwa kweli jamaa wanafahamu vizuri mambo mengi.tuliagana na niliwalipa kwa moyo mweupe sh 50,000/=na wakanipa risiti ya registration na service fees wameniingiza kwenye database yao na mimi ni mtu wa 290.leo saa nane mchana nimepokea simu ya gm wa lem and len industries mr kumar,nimeambiawa wamepata details zangu kutoka ba ra na kesho saa tatu kamili niende ofisini kwao tabata kwa ajili ya interview na mambo mengine inshalah mambo yakikaa sawa nitawaupdate wakuu.
Nafikiri lazima tukubali kuchukua tahadhari ni muhimu lakini kutake risk inaweza saidia sana 50,000/=haitoshi kwa starehe za siku moja hapa dar ila unaweza pata kazi ya mamilioni kwa kulipa 50,000/=embu tujaribu tuone na mimi nitawaletea habari which i hope will be positive tommorow after my interview.
good news
mimi nimewatumia cv yangu,wamenitumia application form nimejaza na nimeshawatumia,wamenipigia simu jana wameniambia tukutane kesho saa nne pale holiday inn,swimming pool side,ila aliyenipigia mimi ni mwanamke ana jina la kikenya wangui janice,naamini mambo yataenda vizuri ila hiyo elf hamsini naipigia hesabu.