Kama unatabia ya kuokota mademu usiku, sona hii

mdundo ngoma sana

JF-Expert Member
Jan 2, 2016
1,002
954
Jana mida ya saa nane nikiwa maeneo ya Sinza kwa Meeda, nilipiga bia zangu kadhaa, pembeni nikamuona binti mrembo, nikabonga naye akaonekana katokea nje ya Dar na ni mgeni, nikakubaliana naye twende gheto mitaa ya Ubungo External, kufika gheto le kushikana shikana ghafla demu kaanza kunyoosha mikono huku anatetemeka.

Mikono ikamkakamaa akaanza kupiga mayowe huku anaongea lugha za ajabu duuuh, wapangaji wakaamka, sasa humu ndani kwangu bachelor nipo alone na baba mwenye nyumba ni mshenga wangu kwa binti mmoja ambaye nimetoa posa.

Baba mwenye nyumba pamoja na wapangaji wakanigongea kufungua binti katoka uchi huku anazungumza lugha zilezile, ikabidi ashikwe na jirani yangu mmoja ni mlokole akaanza kuombea, akaniuliza mkeo kaanza matatizo lini kwa aibu nikasema kaanza leo usiku.

Baada ya kutulia majini nikaita boda boda fasta imchukue.
 
Hahahahahaha nimecheka hatari, nitashangaa ukirudia tena maana hiyo aibu imekutosha umechumbia kwann usitulie! Ikiwa nwenzio huko katulia
 
Jana mida ya saa nane nikiwa maeneo ya sinza kwa meeda,nilipiga bia zangu kadhaa,pembeni nikamuona binti,mrembo.nikabonga naye akaonekana katokea nje ya dar na ni mgeni.nikakubaliana naye twende gheto mitaa ya ubungo external kufika gheto.ile kushikana shikana ghafla demu kaanza kunyoosha mikono huku anatetemeka.mikono ikamkakamaa akaanza kupiga mayowe huku anaongea lugha za ajabu.duuuh,wapangaji wakaamka.sasa humu ndani kwangu bachelor nipo alone na baba mwenye nyumba ni mshenga wangu kwa binti mmoja ambaye nimetoa posa.Baba mwenye nyumba pamoja na wapangaji wakanigongea kufungua binti katoka uchi huku anazungumza lugha zilezile.ikabidi ashikwe na jirani yangu mmoja ni mlokole akaanza kuombea,akaniuliza mkeo kaanza matatizo lini .........kwa aibu nikasema kaanza leo usiku.Baada ya kutulia majini nikaita boda boda fasta imchukue mi sitakagi ujinga
Episode two lini mkuu???
 
Jana mida ya saa nane nikiwa maeneo ya sinza kwa meeda,nilipiga bia zangu kadhaa,pembeni nikamuona binti,mrembo.nikabonga naye akaonekana katokea nje ya dar na ni mgeni.nikakubaliana naye twende gheto mitaa ya ubungo external kufika gheto.ile kushikana shikana ghafla demu kaanza kunyoosha mikono huku anatetemeka.mikono ikamkakamaa akaanza kupiga mayowe huku anaongea lugha za ajabu.duuuh,wapangaji wakaamka.sasa humu ndani kwangu bachelor nipo alone na baba mwenye nyumba ni mshenga wangu kwa binti mmoja ambaye nimetoa posa.Baba mwenye nyumba pamoja na wapangaji wakanigongea kufungua binti katoka uchi huku anazungumza lugha zilezile.ikabidi ashikwe na jirani yangu mmoja ni mlokole akaanza kuombea,akaniuliza mkeo kaanza matatizo lini .........kwa aibu nikasema kaanza leo usiku.Baada ya kutulia majini nikaita boda boda fasta imchukue mi sitakagi ujinga
Eti unasema huwa utakagi ujinga! Wakati ujinga mkubwa umeshaufanya! Pole bro! Kujifunza ndiyo maisha.. Usirudue tena Kama ikiwa hamna we wapigishe mswaki Sana na kuwamezesha hiyo colgeti halafu unarudi geto Mwepesiii
 
Kwahiyo baba mwenye nyumba ambaye pia ni mshenga wako alitoa maoni gani kuhusu hili "tukio"?
 
Back
Top Bottom