Naunga mkono hoja japo ulionekana kutuvunja moyo..Shukuran mkuu! Ila ujumbe umefika na ni sahihi kwamba selection hazitolewi leo kulingana na chanzo cha ndani cha habari kutoka TCU
Kwa nini TCU isingetoa taarifa rasmi kwenye tovuti yao? Kwa nini wako kimya huku wakiona watu wanavyopoteza muda kusubiri?Shukuran mkuu! Ila ujumbe umefika na ni sahihi kwamba selection hazitolewi leo kulingana na chanzo cha ndani cha habari kutoka TCU