Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,759
- 71,138
Mkuu unadhani mbunge kama Juliana Shonza umpe faragha na Sugu na apewe "kichapo" heavy mfano Kachunchu, mbwa kachoka, mbuzi kagoma kwenda na ile aliyoitaja bwana mkubwa kule Bukoba ataacha kumwaga siri zote za kikao cha ndani cha chama? Atajikuta mwenyewe anaanza "ohh baby Sugu nikuambie! Kinana alituambia tusimpe kura Masha na Wenje kuna mgawo wa fedha unakuja"Magufuli hasira za nini kama mbunge wa CCM anatiwa na Mbunge wa Chadema?
Ila Chadema wahuni aisee hii style ya kuiba siri za CCM nimeikubali.
Chezea vijana makamanda wewe!