Kama unasafiri kuja Arusha ujipange hali ya hewa ni mbaya sana

Kuna jamaa yangu yupo Nainokanoka Ngorongoro anasema sana hivi ni degree 9 Celcius.
 
Kwa taarifa yako kama una mpango wa kuja pande hizi za A- City ujipange
Baridi ni kali mno
Amesema, mikoa itakayopata baridi chini ya nyuzi joto 6 ni ile ambayo iko kwenye maeneo yenye miinuko husani mikoa ya Mbeya, Songwe, Iringa, Njombe pamoja na maeneo ya kusini ya mkoa wa Morogoro, hivyo, inaweza kuleta athari kwa binadamu, wanyama, samaki pamoja na ustawi wa mazao mashambani hususani mazao ya muda mrefu kama migomba yanaweza kupata magonjwa ya fangasi na kudhoofisha ustawi wake.

 
Kumbe baridi tu?. Mimi nilivyosoma hapo kwa juu nikajua njiani ndio hali mbaya,kama kuna ukungu hivi huwezi kuona barabarani hivi. Kama ni baridi watu tunataka hiyo. Ulaya unajua wanaishi na baridi inayosababisha mpaka barafu. Na wanaishi na hali hiyo miaka yote
 
MAMLAKA YA HALI YA HEWA imeshatoa tahadhali ya hali mbaya ya hewa (baridi kali) kuanzia mwezi huu wa June hasa kwa mikoa ya Njombe, Mbeya, Iringa, Songwe na Kusini mwa Mkoa wa Morogoro. Hali kama hiyo kwa nyanda za juu kaskazini hasa Manyara, Arusha na Kilimanjaro pamoja na Lushoto haikwepweki.
 
Kwa muhitaji
Nina Heater used from japan inafaa kuwekwa sitting room au chumbani ,inatumia mafuta ya taa ila una i plug kwenye umeme 110 volts
0756141490 Dar es salaam.
 
IMG_1195.png

Arusha hiyo muda huu
 
Bado unaoga maji ya baridi?
Kuna siku nimeingia kuoga maji ya baridi nikasikia sauti inapenya masikioni inasikika ikisema "Oga maji haya ya baridi ufe sasa hivi". Nikaahirisha ikanilazimu nikanunue heater, weeeeee!
 
Back
Top Bottom