Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh! It's a big deal. Am good in English, how can I get in touch with you?Habari kama huna kazi, na unapiga kingereza kizuri kabisa bila kukwama, nicheki tufanye kazi.
Nipo dar es salam NiPM tuongee
I highly doubt.Oooh! It's a big deal. Am good in English, how can I get in touch with you?
Why do you doubt aseeI highly doubt.
Mkuu nashindwa kukupim naambiwa "i may not be able to send you a text" sijui ni tatizo la simu yangu au App...Habari kama huna kazi, na unapiga kingereza kizuri kabisa bila kukwama, nicheki tufanye kazi.
Nipo dar es salam NiPM tuongee
good in English
"Good at ....." siyo "Good in ....". Kiingereza kazi kwelikweli Bongo.
naona mshaanza kufanyiana interview
Wewe ndo hujui sasa...unajifanya kumrekebisha mwenzio wakati wewe ndo hujui kitu...kama unajiamini kweli unajua ulichoandika nipe tofauti ya"Good at ....." siyo "Good in ....". Kiingereza kazi kwelikweli Bongo.
Wewe ndo hujui sasa...unajifanya kumrekebisha mwenzio wakati wewe ndo hujui kitu...kama unajiamini kweli unajua ulichoandika nipe tofauti ya
" good in english" na "good at english"
Fungua pm broNgoja nikucheki