Kama unaongea lugha ya kingereza vizuri bila kukwama nicheki tufanye kazi

Vitu hai huendana na ngeli ya "a-wa vitu visivyo na uhai ndiyo hutumia ngeli zingine jamaa naye kachemka kwenye kiswahili kidogo.
Ni kweli ngeli ya a-wa unaongelea vitu vilivyo hai tu.

Lakini nikiri pia hili ni suala ambalo wataalamu wenyewe wa lugha wameshindwa kuafikiana nalo.

TUKI wao wanadai neno lipo kwenye ngeli ya I-ZI huku kamusi zingine hasa za wakenya wanasema lipo kwenye a-wa.

Kwangu naskia ukakasi mtu akisema.

Maiti amezikwa asubuhi ya leo.

Inayosikika vizuri kwangu ni Maiti imezikwa asubuhi ya leo.
 
Naona wote nyie wageni nitafafanua km ifutavyo!

katka hayo maneno mawili moja ni British American English vernacular, na lingine ni Carribean Pacific English vernacular kazi kwenu!

msikariri kiingereza kuna dialects nyingi sana duniani. kwa sababu hamjui nawapa mfano rahisi uwasaidie na wengine.
Mzanzibar akiongea ni tofauti na Mkurya akiongea , lkn yote ni kiswahili kilekile. mkenya- anaongea SHENG na mwanaume wa bongo wanapoongea ni tofauti tofauti lkn wanaeleweka.
Mkuu na wewe nafikiri hujanielewa...mimi sijasema kwamba anaetumia "at"kakosea wala anaetumia " in" kakosea...wote wapo sahihi...nilichokikosoa ni ujuaji wa huyu mwingine kumrekebisha mwenzie wakati mwenzie nae yupo sahihi kwa kile anachomaanisha
 
Mkuu na wewe nafikiri hujanielewa...mimi sijasema kwamba anaetumia "at"kakosea wala anaetumia " in" kakosea...wote wapo sahihi...nilichokikosoa ni ujuaji wa huyu mwingine kumrekebisha mwenzie wakati mwenzie nae yupo sahihi kwa kile anachomaanisha
ok! you are coming now. good.
pipo they are like that! keep it on!
 
Kiswahili nacho haukiwezi. Maiti ni binadamu. Hauwezi kusema "Maiti itazikwa" unasema "Maiti atazikwa". Heshima ya binadamu akiwa hai inaendelea hata akiwa katika umauti. Hata kama maiti ni wengi (nasema wengi, siyo nyingi), utasema "Maiti watazikwa", siyo "Maiti zitazikwa". Oh, jamani siku wahenga tukiondoka, hizi lugha sijui itakuwaje. Kiswahili hamkijui, Kiingereza ndio basi kabisa. Kilugha ndio basi... Mmeachia Wasukuma tu.
Mkuu tatizo lako wewe unafikiri kila unachokijua wewe na kuzungumza ni sahihi na wanachokijua na kuzungumza wengine siyo sahihi...hutaki kukubaliana na ukweli kuwa wakati mwingine watu wawili wanaweza kuzungumza tofauti na kila mmoja akawa yupo sahihi kwa anachokimaanisha yeye...naona umeingia kwenye kiswahili najua wataalamu watakuja kukurekebisha...ila kiufupi tu huyo unayejaribu kumrekebisha kwenye kiswahili yupo sahihi na wewe upo sahihi vilevile...so usahihi wako usikufanye umuone mwenzio kuwa kakosea
 
Sio kubishana...weka hapa tofauti ya "good in english" na "good at english" na uweke reference kabisa sio kuleta blah blah wakati hujui kitu
 

Attachments

  • IMG_20190815_134002.jpg
    IMG_20190815_134002.jpg
    16.1 KB · Views: 20
  • IMG_20190815_134024.jpg
    IMG_20190815_134024.jpg
    18.2 KB · Views: 30
Mkuu nafikiri nawewe hujanielewa...naomba nipe tofauti ya mtu anayesema "he is good in english" na "he is good at english"
 
Mkuu nafikiri nawewe hujanielewa...naomba nipe tofauti ya mtu anayesema "he is good in english" na "he is good at english"
Usiwe mbishi. Utapataje tofauti hapo wakati sentence ya 'Good in English' haipo kabisa na sio proper English kwasababu imekosewa?
 
How about the sentences shown below?
"I am interested in Technical jobs"
"I am interested in your language ability'
Can you tell me in which category do these sentences fall in your explanation?
 
Naona wote nyie wageni nitafafanua km ifutavyo!
katka hayo maneno mawili moja ni British American English vernacular, na lingine ni Carribean Pacific English vernacular kazi kwenu!
msikariri kiingereza kuna dialects nyingi sana duniani. kwa sababu hamjui nawapa mfano rahisi uwasaidie na wengine.
Mzanzibar akiongea ni tofauti na Mkurya akiongea , lkn yote ni kiswahili kilekile. mkenya- anaongea SHENG na mwanaume wa bongo wanapoongea ni tofauti tofauti lkn wanaeleweka.
Ulichosema ni irrelevant. Kiswahili kina Lahaja nyingi. Lakini lahaja rasmi ni Kiunguja.
Hivyo hivyo kwa kiingereza. Lahaja zipo nyingi lakini zilizorasmi ni British English na American English.
Unavyosema sijui Caribbean Pacific mara nyingi hizo ni Pidgin au Creole na haziwi termed moja kwa moja exclusively kama lugha ya kiingereza.
Kwa muktadha wa hapa Tanzania na East Africa kwa ujumla, kiingereza kilichopo sahihi ni British English.
 
Usiwe mbishi. Utapataje tofauti hapo wakati sentence ya 'Good in English' haipo kabisa na sio proper English kwasababu imekosewa?
English haiwi proper or improper kwa kuwa wewe tu umejisikia kusema...yaani wewe ukijiskia tu kusema alichoongea mwenzako ni improper basi ndo inakuwa hivyo...leta reference inayoonesha mtu akisema "good in anglish " anakuwa hayupo sahihi...jaribu kuzunguka zunguka google huko ndugu utapata tu tofauti..nimekwambia anaesema "good in english" na anaesema "good at english" wote wapo sahihi but wanamaanisha vitu viwili tofauti

download.jpg
 
Mkuu nafikiri nawewe hujanielewa...naomba nipe tofauti ya mtu anayesema "he is good in english" na "he is good at english"
Tofauti ni kwamba "good in English" kwa namna ilivyotumika si sahihi. Badala yake alipaswa kutumia "good at English". KiGrammar nadhani umeona sababu hapo juu.

Kinyume na hapo utakuwa tu umeamua kubishana pasipo kujua unachokibishia.
 
Tofauti ni kwamba "good in English" kwa namna ilivyotumika si sahihi. Badala yake alipaswa kutumia "good at English". KiGrammar nadhani umeona sababu hapo juu.

Kinyume na hapo utakuwa tu umeamua kubishana pasipo kujua unachokibishia.
Huenda wewe ndo hujui unachokibishia...kwa elimu yangu mimi na nilichojiongezea kwa kusoma vitu mbalimbali huko google both " good in english" na "good at english" ni correct but vinamaanisha vitu viwili tofauti..
Kinyume na hapo utakuwa ni wale watu ambao hataki ongeza maarifa anachojua yeye nikuwa "kile anachohisi anakifahamu ni sahihi...watu wengine wote wenye ufahamu tofauti na yeye basi hawapo sahihi"

download.jpg
 
Let me introduced myselvea, if I can survived in that competitions

My names are mkorea from city central dar es salaam, age between 37 and 27. Iam double with three children, given me a work hautajutia. Thank you boss.
am good with my own English
 
Back
Top Bottom