Kama unaongea lugha ya kingereza vizuri bila kukwama nicheki tufanye kazi

Kiswahili nacho haukiwezi. Maiti ni binadamu. Hauwezi kusema "Maiti itazikwa" unasema "Maiti atazikwa". Heshima ya binadamu akiwa hai inaendelea hata akiwa katika umauti. Hata kama maiti ni wengi (nasema wengi, siyo nyingi), utasema "Maiti watazikwa", siyo "Maiti zitazikwa". Oh, jamani siku wahenga tukiondoka, hizi lugha sijui itakuwaje. Kiswahili hamkijui, Kiingereza ndio basi kabisa. Kilugha ndio basi... Mmeachia Wasukuma tu.
Kwa upande wako utaweza kuwa upo sahihi....na kwangu nipo sahihi pia tena asilimia nyingi. Na sio kwamba sijui lugha.

Kuna wataalamu wanaweka maiti kwenye ngeli ya I-ZI.

Ambapo kwangu ni sahihi na nimechagua upande wao kwa maana hapa yanaingia majina yote yasiyo na viambishi vya wingi ila ndani yake kuna wingi.

Wengine kama ulivyosema wanaiweka kwenye ngeli ya A-WA.

Ila hii ngeli imejaa majina yenye uhai.

Kwangu inasikika vibaya saana mtu akisema maiti.

Maiti atazikwa??
Maiti amezikwa??
Maiti alizikwa?? Hapana siwezi kisema hivi.

Maiti tatu zimeopolewa. Nitachagua hii
Maiti wa/tatu wameopolewa hapana.
 
Wewe ndo hujui sasa...unajifanya kumrekebisha mwenzio wakati wewe ndo hujui kitu...kama unajiamini kweli unajua ulichoandika nipe tofauti ya
" good in english" na "good at english"
Naona wote nyie wageni nitafafanua km ifutavyo!

katka hayo maneno mawili moja ni British American English vernacular, na lingine ni Carribean Pacific English vernacular kazi kwenu!

msikariri kiingereza kuna dialects nyingi sana duniani. kwa sababu hamjui nawapa mfano rahisi uwasaidie na wengine.
Mzanzibar akiongea ni tofauti na Mkurya akiongea , lkn yote ni kiswahili kilekile. mkenya- anaongea SHENG na mwanaume wa bongo wanapoongea ni tofauti tofauti lkn wanaeleweka.
 
Looking for someone that can speaking English ? . if yes , then here i am . I can't write up every thing about me here . But if your interested to know more about me , you can follow me pm . I 'm looking forward to hearing from you .
 
Mkuu usibishane nae, na lengo sio kubishana nae hata mimi nilikuwa najua ni GOOD IN sasa uliposena GOOD AT nami nimebaki njia panda coz nami ni mgeni kwenye hii lugha hivyo nilikua nikisubiri jibu lako nijifunze zaidi. So please, mjini kwamanufaa ya wengi
There are some nouns, adjectives, and verbs that are always followed by certain prepositions. 'good' is an adjective and it is always followed by the preposition 'at'. So the correct way to say is: ... One is either 'good' or 'bad' at something
 
Looking for someone that can speaking English ? . if yes , then here i am . I can't write up every thing about me here . But if your interested to know more about me , you can follow me pm . I 'm looking forward to hearing from you .
Follow me PM.

Nifate PM.
 
Tueleweshane kidogo...

Vita imekwisha ...ukiwa unaongelea umoja.
Vita vimekwisha... vita vingi.

Wamepigana watu zaidi ya wanne....
Hautasema vita imekwisha...utasema vita vimekwisha.

Maiti itazikwa....Maiti zitazikwa.
Nadhani inakuwa hivyo...usahihisho unakaribishwa.
Vitu hai huendana na ngeli ya "a-wa vitu visivyo na uhai ndiyo hutumia ngeli zingine jamaa naye kachemka kwenye kiswahili kidogo.
 
Back
Top Bottom