Henrick sanga
Member
- Mar 18, 2010
- 13
- 0
Hayaaaaa jamani nimerudi tena na bakora hapa kuna jamaa kaniambia niwaulize wanajamii kuhusu hiyo kitu ya juu hapo. ''kama mke wako wa ndoa kila siku anasema hajisikii kukupa chakila ya night club utafanyaje? maana kuna watu humu wana kasumba hiyo watuambie walifanya nini? na je walifanikiwa au mpaka leo shuluba tu na vicheche?