Kama unanyimwa chakula na mkeo................

Henrick sanga

Member
Mar 18, 2010
13
0
Hayaaaaa jamani nimerudi tena na bakora hapa kuna jamaa kaniambia niwaulize wanajamii kuhusu hiyo kitu ya juu hapo. ''kama mke wako wa ndoa kila siku anasema hajisikii kukupa chakila ya night club utafanyaje? maana kuna watu humu wana kasumba hiyo watuambie walifanya nini? na je walifanikiwa au mpaka leo shuluba tu na vicheche?
 
mbona easy tu!

Kila siku wewe act uko kwenye ndoto ya majamboz na timu ya nje.....................aah!
 
Si ndio anakuwa amekupa exposure kwa mademu wakali wa kazini kwenu
Hayaaaaa jamani nimerudi tena na bakora hapa kuna jamaa kaniambia niwaulize wanajamii kuhusu hiyo kitu ya juu hapo. ''kama mke wako wa ndoa kila siku anasema hajisikii kukupa chakila ya night club utafanyaje? maana kuna watu humu wana kasumba hiyo watuambie walifanya nini? na je walifanikiwa au mpaka leo shuluba tu na vicheche?
 
Back
Top Bottom