GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Nlikuwa chuo miaka ya nyuma huko naishi na jamaa mmoja mkwavi sana, yule mkambala alikuwa ana tabia za kijuvi na kibazazi hasa. Alikuwa akianza kufahamiana na mwanamke anaenda kwenye kabati lake ambako amebandika karatasi anaandika jina la huyo mwanamke. Anaenda enda naye akija kufanya naye mapenzi basi siku hiyo atarudi room amefurahi anakuja anaweka tick mbele ya jina lile yaani tayari kamla.
Jamaa alikuwa ameandika list ya majina ya wadada hao hii tabia alifanya mwaka wa kwanza na wa pili nimekuja kusikia mwaka jana kuwa aliondoka na ngoma. alikutana na mwanadada ambaye naye ana list kama yeye. So mwanaume akam tick yule dada na dada naye akaenda kum tick kule kwenye list yake ya aliowaambukiza ngoma. ikawa wametickiana. Kumbe yule dada alikuja kufahamu kuwa yule jamaa ni kiwembe so akaamua kumshikisha umeme makusudi ili akaandike list na kuendelea kutick na magonjwa nyemelevu atakayoyapata.
Uhalifu haulipi ndugu zangu.
Jamaa alikuwa ameandika list ya majina ya wadada hao hii tabia alifanya mwaka wa kwanza na wa pili nimekuja kusikia mwaka jana kuwa aliondoka na ngoma. alikutana na mwanadada ambaye naye ana list kama yeye. So mwanaume akam tick yule dada na dada naye akaenda kum tick kule kwenye list yake ya aliowaambukiza ngoma. ikawa wametickiana. Kumbe yule dada alikuja kufahamu kuwa yule jamaa ni kiwembe so akaamua kumshikisha umeme makusudi ili akaandike list na kuendelea kutick na magonjwa nyemelevu atakayoyapata.
Uhalifu haulipi ndugu zangu.