Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Usiwe mvivu wa kufikiri kuishi wanaishi hata watu wasio na kazi wala mshahara na wanakula na kulala na wamejenga.Mkuu wapo wa chini ya hapo na wanaishi .. hapo ndo utajua kuwa wabongo ni wa ajabu sana! Wizi mtupu .. wao wanaita dili.