Mr Adam Gella
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,327
- 660
Acha kazi uone gharama za huo mlolongo utazitoa wapi!My take ni kutafuta vyanzo mbadala vya mapato,,Salaries are NATURALLY exploitative!!
Huyu jamaa hajitambuai 750000 ni nyingi sana inategemea na eneo ulilopo lakini,Huyo ni mfanyakazi wa wapi? maana kuna miji mingine ukilipwa hiyo ni fedha nyingi sana na mtu anajenga na kusomesha kiulaini kabisa.
Na unadai akiugua atakuwa mochwari kwa kuwa hana fedha za matibabu huku umeweka gharama za bima ya afya kwenye bills zake?
Afu utakuta mwandishi wa hili bandiko hana ajira wala biashara inayomwingizia kipato hata cha 300,000 kwa mwezi.Sifa namba moja ya pesa ni "Scarcity" Siku zote hela haitoshi muhimu ni kuishi kulingana na kipato chako.Mjini kuna watu wanaishi kwa mshahara wa 150,000 na wana familia
Inategemea na maisha uliyochagua kuishihuo mchanganuo kabla nilikuwa naogopa hadi kuuangalia ,,,daaa, hiyo pesa unaiona kubwa lakinj ikinyambulishwa utajiona mkosefu sana
Inategemea na maisha uliyochagua kuishi
Na wapi unaishi kuna maeneo kodi ya nyumba. 20,000/kwa mwezi yet kaweka100,000/
Huyo ni mfanyakazi wa wapi? maana kuna miji mingine ukilipwa hiyo ni fedha nyingi sana na mtu anajenga na kusomesha kiulaini kabisa.
Na unadai akiugua atakuwa mochwari kwa kuwa hana fedha za matibabu huku umeweka gharama za bima ya afya kwenye bills zake?
unaznizungumzia mimi au unazungumzia mada? na ugonjwa wenye bima ni malaria tu?unavyoumwa malaria unatibiwa bure unafikiri kila ugonjwa unatibiwa bure.
polee sana
unadegree unalipwa laki sita ni.kigezo kikubwa kuonyesha degree yako uliipata kwa mishe
Tuwe wakweli kwa mshahara wa 750000 kwa mtumishi mwenye familia ya watoto watatu na mke atakuwa masikini.Huyo ni mfanyakazi wa wapi? maana kuna miji mingine ukilipwa hiyo ni fedha nyingi sana na mtu anajenga na kusomesha kiulaini kabisa.
Na unadai akiugua atakuwa mochwari kwa kuwa hana fedha za matibabu huku umeweka gharama za bima ya afya kwenye bills zake?
Kwani mkuu trafiki akienda " site" anapata hela?Wafanyakazi wengi wanaendesha maisha kwa kumdokolea muajiri hapa na pale. Embu mpe mfanyakazi mshahara huo, mathalani trafiki afu mwambie akae nyumbani miezi sita asiende 'site' uone kama hajafa njaa.