Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,869
- 38,488
Hello JF,
Dunia ni ya ajabu sana, muda mwingine mambo yako kinyume. Ni katika kuangalia kwangu nimegundua shughuli ambazo unalazimika kutumia nguvu nyingi basi mapato huwa kidogo.
Unaweza kuwa kweli unafanya kazi kwa bidii lakini bidii kwa jinsi gani? Hakuna watu wanafanya kazi kwa bidii kama wamwaga zege. Wabeba mizigo sokoni, Wale wanaolima kule kwetu kwa jembe la mkono. Lakini wanaokuja kunufaika ni watu wanaotumia akili tu na nguvu kidogo.
Kama vijana dunia ipo ipo kinyume kuna haja ya kujitafakari mahala ulipo je unatumia nguvu zaidi kuliko akili?
Hii mambo ya waliofanikiwa kusema tu siri ni kufanya kazi kwa bidii basi nafikiri haitoshi.
Kuna msemo unasema "jifunze kutumia akili nguvu zina mwisho wake"
Ikumbukwe ufukara yaweza kuwa ni kipimo cha ufinyu wa kufikiri.
Work smarter not harder!
Dunia ni ya ajabu sana, muda mwingine mambo yako kinyume. Ni katika kuangalia kwangu nimegundua shughuli ambazo unalazimika kutumia nguvu nyingi basi mapato huwa kidogo.
Unaweza kuwa kweli unafanya kazi kwa bidii lakini bidii kwa jinsi gani? Hakuna watu wanafanya kazi kwa bidii kama wamwaga zege. Wabeba mizigo sokoni, Wale wanaolima kule kwetu kwa jembe la mkono. Lakini wanaokuja kunufaika ni watu wanaotumia akili tu na nguvu kidogo.
Kama vijana dunia ipo ipo kinyume kuna haja ya kujitafakari mahala ulipo je unatumia nguvu zaidi kuliko akili?
Hii mambo ya waliofanikiwa kusema tu siri ni kufanya kazi kwa bidii basi nafikiri haitoshi.
Kuna msemo unasema "jifunze kutumia akili nguvu zina mwisho wake"
Ikumbukwe ufukara yaweza kuwa ni kipimo cha ufinyu wa kufikiri.
Work smarter not harder!