BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,215
- 39,040
Wanaume huu ni ukweli usiopingika kama hujawai date na demu wa kichaga au unakataliwa basi jua wewe mafanikio yamekupita pembeni.
Madem wa kichaga hawawez date na mwanaume ambaye haonekani kuwa na future au mafanikio mbelen, bhas hawa wanawake wana uwezo wa ku determine maisha ako ya mbeleni.
Ukiona unakumbana na hili tatizo mzee baba jipange kaa chini vizuri wanawake wa hili kabila sio poaa
Wengi mtapinga but huu ndo ukweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Madem wa kichaga hawawez date na mwanaume ambaye haonekani kuwa na future au mafanikio mbelen, bhas hawa wanawake wana uwezo wa ku determine maisha ako ya mbeleni.
Ukiona unakumbana na hili tatizo mzee baba jipange kaa chini vizuri wanawake wa hili kabila sio poaa
Wengi mtapinga but huu ndo ukweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums