gachacha
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 2,581
- 3,928
Hapa ni kwa wanawake wa kitaa na wale wa viti virefu, wapenda SAVANNA
Mimi kabla huu ugonjwa wa kutowapa pesa(ugumu) haujaingia kichwani nilikuwa na mwanamke mmoja mzuri matata nilikuwa namuamini asilimia 100 kipindi icho, kuwa nitaweka ndani nikawa nasimamia shoo nyingi sana kusuka, shida ndogo ndogo zote namaliza, nikawa kama vile ndo mzazi wake.
Maisha yakasongo vizur tu mwisho wa siku mwamke huyu akaanza kubadilika baada ya kumtia mimba na kutoa, nikawa simwelewi siku moja akanichana kuwa ameamua kuishi mwenyewe mahusiano yamemshinda, nikambembeleza akawa ananielewa ila badae akarudia msimamo wake, ikabidi nikubaliane na hali maisha yakasonga ingawa ikawa ni kipindi kigumu sana,
Sasa haya ndo maisha baada ya kuwa mgumu kama jiwe wa kutotoa pesa,
Niliopoa mwanamke mdogo dogo tu nikawa mgumu sana kutoa pesa, ila nikitaka kupiga kitobo mtoto wa watu ananiletea vizur tu, ila akiniomba tu pesa msela namwambia hamna shida nitakutumia, atasubilia adi achoke na fix kibao anapotezea, tena napiga kitobo.
Matokeo sasa baada ya kuona simtoi pesa, akaanza kusema nimekubali unipotezee mda ila huna hata unacho nisaidia tofaut na kunikunja kunja na kunisugua, mwisho wa siku mapenzi yakafika kikomo.
Mimi kabla huu ugonjwa wa kutowapa pesa(ugumu) haujaingia kichwani nilikuwa na mwanamke mmoja mzuri matata nilikuwa namuamini asilimia 100 kipindi icho, kuwa nitaweka ndani nikawa nasimamia shoo nyingi sana kusuka, shida ndogo ndogo zote namaliza, nikawa kama vile ndo mzazi wake.
Maisha yakasongo vizur tu mwisho wa siku mwamke huyu akaanza kubadilika baada ya kumtia mimba na kutoa, nikawa simwelewi siku moja akanichana kuwa ameamua kuishi mwenyewe mahusiano yamemshinda, nikambembeleza akawa ananielewa ila badae akarudia msimamo wake, ikabidi nikubaliane na hali maisha yakasonga ingawa ikawa ni kipindi kigumu sana,
Sasa haya ndo maisha baada ya kuwa mgumu kama jiwe wa kutotoa pesa,
Niliopoa mwanamke mdogo dogo tu nikawa mgumu sana kutoa pesa, ila nikitaka kupiga kitobo mtoto wa watu ananiletea vizur tu, ila akiniomba tu pesa msela namwambia hamna shida nitakutumia, atasubilia adi achoke na fix kibao anapotezea, tena napiga kitobo.
Matokeo sasa baada ya kuona simtoi pesa, akaanza kusema nimekubali unipotezee mda ila huna hata unacho nisaidia tofaut na kunikunja kunja na kunisugua, mwisho wa siku mapenzi yakafika kikomo.