Kama unajiuliza, unashangaa na kusikitika kwanini Simba SC inakamiwa, Wachezaji wake Kuumizwa vibaya na Ahadi nyingi Kutolewa haya ndiyo Majibu

Wewe jamaa una chuki na aucho,hamna kiungo fundi kwenye ligi yetu kwa sasa kama aucho
Nashukuru kwa Kugundua kuwa Jamaa huyo ana Chuki tu Binafsi na Kiungo Fundi kutoka Mitaa ya Kawempe na Wandegeya Jijini Kampala na nchini Uganda Khalid Aucho.

Ukiona ninamkubali Mtu jua ni mzuri.
 
1. Yanga SC wameamua kuwa kwa Msimu huu iwe Mvua au Jua na kwa Mikakati yoyote ya ndani na nje ya Uwanja wanashinda.

2. Kuumiza kwa Makusudi Wachezaji wa Simba SC ili Timu itetereke na ikose muelekeo katika Ligi.

3. Baada ya Yanga SC Kutolewa Alfajiri tu huko CAF CL huku wakiwa hawataki Kuchekwa na Simba SC ambayo Kufika mbali ni Jadi yake Mkakati wa sasa ni Kuidhoofisha Kiuchezaji kwa Kuumiza Wachezaji Muhimu na itolewe mapema.

4. Mpango (Mkakati) uliopo ni Simba SC kupoteza Michezo ( Mechi ) zake Tano tu huku mwanzoni ili Wao Yanga SC watumie huo mwanya wa Kuihujumu Simba SC kupitia Kuhonga Timu Pinzani na Waamuzi (Referees) ambao mpaka sasa 85% yao wapo katika Payroll ya GSM.

5. Kuna Kontena kama Mbili au Tatu za Jezi zipo njiani hivyo ili Kuziuza vyema na GSM Kujipatia Faida Kubwa Mkakati ni kuhakikisha Yanga SC inashinda kwa Gharama yoyote ile huku ikiihujumu Simba SC ili kuleta mwamko na Hamasa Kubwa kwa Mashabiki wa Yanga SC na hatimaye Waaminishwe kuhusu Ubingwa wa mapema na waanza Kugombani Jezi Madukani.

6. GSM ambaye pia ndiyo Msimamizi wa Mchakato mzima wa Mabadiliko ya Yanga SC kuwa chini ya Wawekezaji anaanza Kujiandalia Mazingira ya Kuaminiwa na Kukabidhiwa sehemu kubwa ya Klabu ( Timu ) amepanga kutumia Pesa Kubwa ya Kuhonga, Kufanya Ushawishi na Kuimaliza Simba SC Kimchezo na hatimaye Yanga SC iwe Mikononi mwake ( mwao ) Kikatiba.

7. Uwoga mkubwa wa Viongozi wa Yanga SC na Mdhamini wao Mwandamizi GSM kwa Ahadi waliyoitoa mara ya Pili kuwa kwa Msimu huu wa 2021 / 2022 wamesajili Majembe na watakuwa Mabingwa isipotimia yanaweza kuwakuta makubwa kutoka kwa Mashabiki wa Yanga SC hivyo wanachokifanya sasa ni kutumia Pesa zaidi ya ile anayepata Bingwa wa Ligi Kuu Tsh Milioni 500 ili wawe Mabingwa na wawanyamazishe Mashabiki zao ambao Kiasili ni Wakorofi na hawana Uvumilivu pia.

Nuksi tumeshaitoa leo sasa mtatukoma.
Acha kuamini ujinga nawe utakua mjinga no Moja kwani mo na gsm nani mwenye hela hapo tuanzie sipendi utupotoshe na ujinga wako kwa gsm atacheza match ngapi uwanjani wewe na bobani takataka tu Simba nguvu Moja
 
Wanampa sifa kwa ku-disqualify wachezaji wengine ambao hawapo katika position kama yake

Imagine kwa mechi mbili alizocheza mtu anam-disqualify chama the attacking midfieleder kwa kumlinganisha na Aucho, hapo ndio sababu iliyonifanya nipaze sauti.
Chama ana goli ngapi na asisit ngap uko aliko
 
1. Yanga SC wameamua kuwa kwa Msimu huu iwe Mvua au Jua na kwa Mikakati yoyote ya ndani na nje ya Uwanja wanashinda.

2. Kuumiza kwa Makusudi Wachezaji wa Simba SC ili Timu itetereke na ikose muelekeo katika Ligi.

3. Baada ya Yanga SC Kutolewa Alfajiri tu huko CAF CL huku wakiwa hawataki Kuchekwa na Simba SC ambayo Kufika mbali ni Jadi yake Mkakati wa sasa ni Kuidhoofisha Kiuchezaji kwa Kuumiza Wachezaji Muhimu na itolewe mapema.

4. Mpango (Mkakati) uliopo ni Simba SC kupoteza Michezo ( Mechi ) zake Tano tu huku mwanzoni ili Wao Yanga SC watumie huo mwanya wa Kuihujumu Simba SC kupitia Kuhonga Timu Pinzani na Waamuzi (Referees) ambao mpaka sasa 85% yao wapo katika Payroll ya GSM.

5. Kuna Kontena kama Mbili au Tatu za Jezi zipo njiani hivyo ili Kuziuza vyema na GSM Kujipatia Faida Kubwa Mkakati ni kuhakikisha Yanga SC inashinda kwa Gharama yoyote ile huku ikiihujumu Simba SC ili kuleta mwamko na Hamasa Kubwa kwa Mashabiki wa Yanga SC na hatimaye Waaminishwe kuhusu Ubingwa wa mapema na waanza Kugombani Jezi Madukani.

6. GSM ambaye pia ndiyo Msimamizi wa Mchakato mzima wa Mabadiliko ya Yanga SC kuwa chini ya Wawekezaji anaanza Kujiandalia Mazingira ya Kuaminiwa na Kukabidhiwa sehemu kubwa ya Klabu ( Timu ) amepanga kutumia Pesa Kubwa ya Kuhonga, Kufanya Ushawishi na Kuimaliza Simba SC Kimchezo na hatimaye Yanga SC iwe Mikononi mwake ( mwao ) Kikatiba.

7. Uwoga mkubwa wa Viongozi wa Yanga SC na Mdhamini wao Mwandamizi GSM kwa Ahadi waliyoitoa mara ya Pili kuwa kwa Msimu huu wa 2021 / 2022 wamesajili Majembe na watakuwa Mabingwa isipotimia yanaweza kuwakuta makubwa kutoka kwa Mashabiki wa Yanga SC hivyo wanachokifanya sasa ni kutumia Pesa zaidi ya ile anayepata Bingwa wa Ligi Kuu Tsh Milioni 500 ili wawe Mabingwa na wawanyamazishe Mashabiki zao ambao Kiasili ni Wakorofi na hawana Uvumilivu pia.

Nuksi tumeshaitoa leo sasa mtatukoma.
PUMBA TUPU
 
Daah we jamaa umenichekesha sana leo
Ni mpango mahsusi inajulikana vizuri na kila mdau wa michezo.

Hao viongoz wa serikali Lly Hapi,Mavunde (Mb)Ni chambo tu. Wote ni mashabiki wa utopolo.

Tz badala ya kupambana wawe bora km Simba wanapambana kuishusha Simba. Ni Tz pekee utakuta akili km hizi

Ila Yanga hatochukua ubingwa. Tuweke akiba ya maneno.
JamiiForums1212433887.jpg
 
Back
Top Bottom