Simba haijacheza na timu yenye quality players so far ukitoa Mtibwa na Chama akala kanzu mbili kutoka kwa mtoto mdogo JOJO kutoka under 20 ya Mtibwa..Simba inamapungufu ya kukaba hayawezi kuonekana ukicheza na timu zilizokuwa disorganised...sasa Yacoube, Sarpong na Kisinda nani wa kuwakaba..beki ya Yanga kuta la BerlinSasa hoja ya ubora wa kikosi Cha simba nao inahitaji mjadala🤔?
Unateseka nae sana? Na hapa bado nitawateseni kweli kweli 'Wapuuzi' kama Wewe ( Nyie ) Na kuna 'Uzi' mwingine nakuja nao Yanga mjipange tu.Huyu jamaa simwelei Mara hajifanye mnyarwanda anaiponda Tanzania Mara anajifanya mtanzania kwao Mara yani pasua kichwa