GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Inakuuma sana watu kuwa BoT,
Fanya biashara acha kufikiria kuajiriwa wewe
Poor mindset wenzako wanaacha kazi wanalipwa dollar 100, 000 per month
Fanya biashara acha kufikiria kuajiriwa wewe
Poor mindset wenzako wanaacha kazi wanalipwa dollar 100, 000 per month
Inadepend na Organization dada shakira mfano BOT lazma uwe na gpa 4+, fedha,hazina,sumatra uko uwe na 3.5+ but kama una proffessional qualification inakuwa advantage kwako ila hzo nlizokutajia wapo very serious, bot, fedha huji sikia wanatangaza kazi but hawa huwa wanaenda vyuo vikubwa kama mzumbe, udsm wanachukua candidates walizopata hzo gpa afu wana watrain wanawaajili kimya kmya nyie mtaskia tu flan yupo Bot, mwingine fedha, mwingine hazina nk. GPA ina matter sana kwa sikuhz ndomana hta internship wanataka kuanzia 3.5