Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,977
- 63,996
Chief hiki kitu kilichoulizwa hua kinakua kama utani katika social networks nyingine. Look around, a lot of people commented in a comical manner.Only DNA can prove, msilete utoto wenu hapa JF.
Chief hiki kitu kilichoulizwa hua kinakua kama utani katika social networks nyingine. Look around, a lot of people commented in a comical manner.Only DNA can prove, msilete utoto wenu hapa JF.
Ni social network zingine lakini siyo JF.Chief hiki kitu kilichoulizwa hua kinakua kama utani katika social networks nyingine. Look around, a lot of people commented in a comical manner.
JF kuna jukwaa la utani, hii ilibidi iwe kule.Ni social network zingine lakini siyo JF.
Hahahaha!!!!!"Why do you ask son? Are you not clever enough to know you are not my son?"
My child, You are so lazy you can't countDad I know that X is your 1stborn what about me?
You are confusing me my child, please elaborateDad what order of your children sequence am I ?
Asante, bora umeliona hilo, mtu ana wake 70, watoto 200 umuulize upuuzi kama huu anakujibu tu sikutambui muulize mama yako baba yako nani?JF kuna jukwaa la utani, hii ilibidi iwe kule.
HahahahahahahaAsante, bora umeliona hilo, mtu ana wake 70, watoto 200 umuulize upuuzi kama huu anakujibu tu sikutambui muulize mama yako baba yako nani?
MhGeuza sentensi hii iwe ya kiingereza
""Baba mimi ni wangapi kuzaliwa?""
Ukipata njoo inbox
Damn I always thought am the doggy oneMissionary son
Lilisha jibiwa kitambo search utapata.Geuza sentensi hii iwe ya kiingereza
""Baba mimi ni wangapi kuzaliwa?""
Ukipata njoo inbox
Dad what's my birthrank?Geuza sentensi hii iwe ya kiingereza
""Baba mimi ni wangapi kuzaliwa?""
Ukipata njoo inbox
umeua mkuuDad, I am the first, second, third or fourth born kid??
Ila hapa itategemea kama mko watoto wanne.