ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 15,586
- 59,236
Louder Sis sidhani kama wamesikia
Hata msipate taabu, if yo not man enough mwanamke yeyote ni hatari kwako.
Hata msipate taabu, if yo not man enough mwanamke yeyote ni hatari kwako.
Wanaume mnahangaikaa, kuna uzi mkenya mmoja aliwahi kuanzisha humu akielezea namna anavyopenda wanawake wanaojua allmost everything na wenye exposure ya kutosha. Mlimsapoti kweli kweli mkatunanga weeee, leo naona mambo yamegeuka
Wao wenyewe hawajielewi.Kwani wanaelewekaga sasa ukiwa hujui wanakuona mshamba
Wanajifanya hawajasikiaLouder Sis sidhani kama wamesikia
Me wangu anaijua AUDI tu ndio gar iliyopo akilin mwake mda woteSema wako mkuu, hahahahahah akitoka hapo atajua mastar wote hadi wa nje .
Sasa mkuu, hao wanawake wa vyuoni... kesho yake si ndo wanakuja mitaani na kupata ajira...
Yani kwa katazo hili la wanawake wa chuo... ni hakika kabisa unatufundisha uoga wa kufata hivi viumbe.